Recent content by mpemba mbishi

  1. mpemba mbishi

    Nimesikiliza audio ya Didas Masaburi, anatakiwa kushitakiwa kwani anaratibu vijana wengine

    Technology na utayari wa watu katika kutaka mabadiliki vinwaaibisha sana CCM. Huku Zanzibar kuna Muwakilishi alikua anazungumza siri sehemu fulani akidhani kwamba wote waliopo kwenye kikao hicho ni CCM waadilifu. Matikeo yake akaumbuka, siri yote ilirikodiwa na ikasambazwa
  2. mpemba mbishi

    Updates kutoka Zanzibar: Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA

    Lakini tayari umeme wameshaukata mapema ingawa inafika kama mwaka sasa Zanzibar umeme haujakatika. Lakini Swahiba FM wamejipanga sana kimawasiliano
  3. mpemba mbishi

    Updates kutoka Zanzibar: Mkutano wa kumtambulisha Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA

    Kuanzia saa 4 asubuhi Mkutano utarushwa live kupitia Radio Swahiba 102.9 FM au kwa online Swahiba Fm | Sauti ya Wananchi
  4. mpemba mbishi

    Zembwela wa East Africa Radio, kama wewe ni CCM pole

    Kutazama TV nyengine inakubidi umeze panadol mwanzo
  5. mpemba mbishi

    Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

    https://m.facebook.com/story.php?story_fbid=871362642913371&id=100001189291607&refid=7&_ft_=qid.6181017978490900992%3Amf_story_key.-8811676310969647600%3AeligibleForSeeFirstBumping.
  6. mpemba mbishi

    UVCCM yamvaa Lowassa, wasema watamnyosha

    shaka hamdu shaka alikua mfanyakazi wa ndani wa Shadia karume, hilo ni bwabwa 100%
  7. mpemba mbishi

    Arusha na CCM

    AKIRI means to support, Tumia neno AKILI
  8. mpemba mbishi

    Msaada: Jinsi ya ku hack simu ya mkononi

    Nipe namba yako nikuelekeze, kuna application safi sana, ukiwa nayo hiyo na kama una mpenzi wako anatumia smartphone simu yake unaifanyia kitu cha kujijengea heshima sana. Msg calling na references zote zinaenda sehemu kujstore na wewe unazifata kwa email tu unazipata zote. Ni mzuri hata kama...
  9. mpemba mbishi

    Lowassa: Sihusiki na Richmond, ilitungwa kunichafua. Sitohama CCM!

    Mimi hata ashushwe mtu leo kutoka mbinguni kuwania Urais kwa tiketi ya CCM simuamini kabisa. Hawa watu hakuna anayefaa tena kuongoza raia wa nchi hii
  10. mpemba mbishi

    Kamanda Tundu Lissu yuko Live, Bungeni

    Tupeni namba za radio wanayorusha
  11. mpemba mbishi

    Ikiwa picha hii ni ya kweli, Nyalandu lazima ajiuzulu

    Dini inasemaje kuhusu hili?! Kweli mtu akiwa CCM anakuwa na akili za kuku, kwa hili hata dini umeiweka pembeni! Au ID yako umemuuzia mtu anatumia?
  12. mpemba mbishi

    Kweli Watanzania wameichoka CCM

    https://zanzibardaima.wordpress.com/2015/05/14/boflo-ya-ccm-zanzibar-inapojaa-sisimizi/
  13. mpemba mbishi

    Hamad Rashid Mbunge wa CUF, aaga Bunge na kutangaza kugombea urais kupitia chama cha ADC

    Siasa za Tanganyika ooooops samahani Tanzania Bara sio sawa na siasa za Zanzibar, Wazanzibari ni Walimu wakubwa sana kisiasa. Hamad Rashid hakubaliki Zanzibar na wala hajuilikani kabisa, mimi ningemshauri tu bora angeingia CCM ili akafia huko kisiasa pengine akifa atapata heshima ya kuzikwa...
  14. mpemba mbishi

    Maalim Seif: ZEC inatumika kuandikisha watu waliokodiwa katika daftari la kudumu la mpiga kura

    Mkuu mimi watu wa mfano uliotoa ninao kwa mamia ambao nilikuwa nasoma nao CHUO , ambao wazee wao ni CCM na Masheha (Viongozi wa Serikali za mitaa), waliniambia walianza kupiga kura wakiwa hata hawajifahamu kutokana umri waliokuwa nao, wengine wananihadithia walikuwa wana miaka 12 tu na walikuwa...
  15. mpemba mbishi

    Maalim Seif: ZEC inatumika kuandikisha watu waliokodiwa katika daftari la kudumu la mpiga kura

    Kama sio za kweli na tuone wale wote waliotuhumiwa waje wakanushe na baadae wapeleke kesi mahakamani uone watakavyoning'inizwa kwenye kitanzi tena kwa ushahidi wa wazi kabisa Ikiwa sisi Raia wa kawaida tunavyo baadhi ya vizibiti vya picha kama za vitambulisho vyenye majina feki na mambo...
Back
Top Bottom