Technology na utayari wa watu katika kutaka mabadiliki vinwaaibisha sana CCM. Huku Zanzibar kuna Muwakilishi alikua anazungumza siri sehemu fulani akidhani kwamba wote waliopo kwenye kikao hicho ni CCM waadilifu. Matikeo yake akaumbuka, siri yote ilirikodiwa na ikasambazwa
Nipe namba yako nikuelekeze, kuna application safi sana, ukiwa nayo hiyo na kama una mpenzi wako anatumia smartphone simu yake unaifanyia kitu cha kujijengea heshima sana. Msg calling na references zote zinaenda sehemu kujstore na wewe unazifata kwa email tu unazipata zote. Ni mzuri hata kama...
Siasa za Tanganyika ooooops samahani Tanzania Bara sio sawa na siasa za Zanzibar, Wazanzibari ni Walimu wakubwa sana kisiasa.
Hamad Rashid hakubaliki Zanzibar na wala hajuilikani kabisa, mimi ningemshauri tu bora angeingia CCM ili akafia huko kisiasa pengine akifa atapata heshima ya kuzikwa...
Mkuu mimi watu wa mfano uliotoa ninao kwa mamia ambao nilikuwa nasoma nao CHUO , ambao wazee wao ni CCM na Masheha (Viongozi wa Serikali za mitaa), waliniambia walianza kupiga kura wakiwa hata hawajifahamu kutokana umri waliokuwa nao, wengine wananihadithia walikuwa wana miaka 12 tu na walikuwa...
Kama sio za kweli na tuone wale wote waliotuhumiwa waje wakanushe na baadae wapeleke kesi mahakamani uone watakavyoning'inizwa kwenye kitanzi tena kwa ushahidi wa wazi kabisa
Ikiwa sisi Raia wa kawaida tunavyo baadhi ya vizibiti vya picha kama za vitambulisho vyenye majina feki na mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.