Samahan wadau,
Kumekuwa na link inyosambazwa https://olas.heslb.go.tz/index.php/olas/user/register/repay?t=2 ukiingia inaonyesha deni tofauti na lile lililopo kwenye salary slip kwa wale walioanza kukatwa.
Je, hii ina maana gan? Kuna marekebisho tusubiri au huu mfumo hauna correlation na...
Leo katika mbao za matangazo kutoka katika halmashauri tofauti kumeonekana tangazo la kupandisha kwa MAKATO ya bima ya afya kwa WAFANYAKAZI...lengo likiwa kuboresha huduma za afya kwa mujibu wa tangazo Hilo.....Hivyo MAKATO yatakuwa Mara mbili ya MAKATO ya Sasa....
IKUMBUKWE TANGU KUINGIA...
Vipi habari ya Fao la Uzazi....maana tangu mifuko hi iunganishwe ofisi zote zinasema wamepokea maagizo toka kwa DG wasitoe mafao haya ya Uzazi....Mwenye taarifa na maelezo kuhusu hili atujuze
Nionavyo mini kupitia kesi ya Lissu ni uoga wa mahakama kwa mihimili miwili ya Bunge na Executive...ukiangalia kimantiki mihimili hi miwili in muungano sababu member wake walio wengi wanatokana na chama hasa Cha mapinduzi.
HONORABLE JUDGE MATUPA anaonekana wazi kuamua penati ili kuwapa ushindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.