Recent content by mpattoh

  1. mpattoh

    Kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake ni pigo kwa CHADEMA

    Zz Sent from my itel S32 using JamiiForums mobile app
  2. mpattoh

    Kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake ni pigo kwa CHADEMA

    Zzzzzz Sent from my itel S32 using JamiiForums mobile app
  3. mpattoh

    WhatsApp inapoteza sana muda

    Tena mimi naona bora hata Whatsapp Instagram na Tiktok ndio kiboko! Zinafanya mtu anakuwa addicted sana, hivyo kujichelewesha kwenye mambo mengine
  4. mpattoh

    Je mwezi umeonekana huko uliko?

    Kiongozi, kesho sio Idd! Rejea post #28 hapo juu kwa uthibitisho zaidi!
  5. mpattoh

    Tunaelekea wapi??

    [emoji16][emoji16] nilidhani nakaribia kuona yote, kumbe hata nusu bado!!
  6. mpattoh

    Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

    Kwamba kwa siku nne ngombe anakunya gunia zima!?[emoji856]
  7. mpattoh

    Malezi yamekuwa magumu sana, zijue mbinu za kuwanyoosha watoto wako

    Umrnena vema sana mkuu! Hakika mzazi anapasea kuwa mfano kwa mtoto. Chochote ufanyacho ndio watoto nao wanaiga na ndivyo ambavyo watafanya! Basi mkuu, labda na hili pia ungeliweka wazi, kwamba iwapo mtoto amekosea kwa makusudi au bahati mbaya, ni njia gani sahihi ya kumuadhibu!?
  8. mpattoh

    Taja jina la movie ulioitazama zaidi ya mara 5 lakini bado hujaichoka

    Hiuo muvi nzuri sana kaka, na kama umeipenda hiyo basi kuna pacha yake inaitwa The old Guard... Nzuri sana aisee!!
  9. mpattoh

    Optic illusions (mauzauza)

    Shuka taratibu upande wa kulia, juu kidogo ya katikati
  10. mpattoh

    Atupwa jela miaka 60 kwa kumbaka mama wa miaka 56

    Duh! Yawezekana kweli dogo kasingiziwa!?? Namuonea huruma sana madkini kijana huyo! Doh!!
  11. mpattoh

    Tundu Lissu na "Maslahi yangu kwanza"

    Dada yangu Maryam, ingekuwa ndio wewe umepigwa risasi hizo zote thelasini na., Je ungemuomba nini raisi wa JMT!
  12. mpattoh

    Anime Photo Collection

    Priscilla
  13. mpattoh

    Uzi maalum kwa wale tuliowahi kupitia michongo haramu yenye pesa ndefu

    Kwenye hiyo dili yako ya kwanza, we jamaa noma sana aisee!
Back
Top Bottom