Recent content by Mpasuamajipu

  1. Mpasuamajipu

    John Mnyika John, Mbatizaji anayetuhumiwa

    Umenina vizuri sana, na huo ndio ukweli wenyewe, tatizo wale wahasimu wako utashangaa " watakavyokuchambua". Usijali sana kwani ndio siasa, umesemea wengi na ujumbe umewafikia wahusika.
  2. Mpasuamajipu

    Ushauri jamani: Mke wangu anawahi kufika kileleni mapema, na akifika harudii tena

    Safi sana kijana, ndio mmelewa hivyo kwenu kutukana hata watu wazima. Tabia za Facebook unaleta humu. Pole sana kijana wangu, Mungu akubariki sana maana hujui hata unayemtukana ni nani.
  3. Mpasuamajipu

    Anayemjua nabii Yusuph wa Morogoro, naomba anipe taarifa zake

    Umesema kweli, na Mungu akubariki kwa kusema kweli
  4. Mpasuamajipu

    Ushauri jamani: Mke wangu anawahi kufika kileleni mapema, na akifika harudii tena

    Sasa ubwegee umetokea wapi hapo mkuu, hivi lazima kukomenti usipite tu kimya kuliko kujidhalilisha kutoa lugha zisizo faa. Una matatizo kichwani kwako. Unapovuta bangi zako uwe mpole sio kuropoka tu. Kwani hapa mjini kuna nini? Jinga.
  5. Mpasuamajipu

    Picha za ‘utupu’ za mke wa Donald Trump zasambaa

    Ni kweli mkuu ukitaka kila kitu cha siri kuwa mwanasiasa. Ila inahitaji uvumilivu sana.
  6. Mpasuamajipu

    Ukimya wa viongozi wa dini, mtasema lini?

    Wewe ulitaka waseme nini, demokrasia hipi unayoizungumzia wew. Wana Uhuru katika nchi yao kusali popote, kuhubiri popote.
  7. Mpasuamajipu

    Sabodo: Sitawapa tena CHADEMA pesa yangu, nitampa Rais Magufuli

    Kwani huko uliko hakuna maagizo, tuache lugha za ukakasi hapa.
  8. Mpasuamajipu

    Ushauri jamani: Mke wangu anawahi kufika kileleni mapema, na akifika harudii tena

    Umeisha muita changundoa, hivyo afai kuwekwa ndani kama mke.
  9. Mpasuamajipu

    Anayemjua nabii Yusuph wa Morogoro, naomba anipe taarifa zake

    Huyo mganga wa kienyeji mkuu kwa mgongo wa kinabii
  10. Mpasuamajipu

    Nini madhara ya kuoa mwanamke anayekuzidi umri?

    Hakuna madhara yoyote maadamu mmekubaliana
  11. Mpasuamajipu

    Hawa ndio Manabii na Mitume matapeli, tumechoka kuwavumilia sasa

    Haaaaaaaa kumbe na Lusekelo yuko huku. Karibu kulubule
  12. Mpasuamajipu

    Hawa ndio Manabii na Mitume matapeli, tumechoka kuwavumilia sasa

    Pale hakuna upako wowote ni utapeli na shuhuda za uongo. Mlima wa moto , lile limama silipenda kweli. Siku moja nakwenda pale kanisani kwake ananiamibia pokea gari, pokea nyumba ya kisasa, pokea ukurungezi, pokea tiketi ya kwenda marekani, pokea mke. Nikamtazam yule mama sikumwelewa kabisa...
Back
Top Bottom