Recent content by Mpap Ndabhit

  1. M

    PreGE2025 Nape Nnauye: Matokeo ya kura inategemea nani anahesabu na nani anatangaza, ili mradi ukimaliza unasema Mungu nisamehe!

    Ni kweli! Wakati mwingine walitumia njia ya kununuliwa watu pombe, tishet, vitenge na kadhalika. Awamu hii wanatumia kila aina ya njia kuhalalisha kubaki madarakani! Hivi wapinzani wamekosa kabisa njia ya kuwadhibiti hawa watu wa kijani.
  2. M

    Wosia alioandika huyu mzee ni wa kibabe sana

    Kama mtaalamu, hakuna wosia hapo.!
  3. M

    GE2025 Wanufaika wa pikipiki na Baiskeli za CCM wanatosha kuirudisha Madarakani!

    Nilikuwa mahali fulani nikiangalia namna mambo yanavyokwenda. Sikuamini macho yangu kushuhudia ama pikipiki au Baiskeli zenye chata ya CCM zikikatiza kika baada ya dakika 5. Nikawaza Wanufaika wa pikipiki na Baiskeli za CCM wanatosha kabisa kuirudisha Madarakani! Kura za watu wengine zitakuwa...
  4. M

    Mama tusaidie kuifuta kesi Mahakama Kuu Mbeya ili October, 28, 2025 kwa raha zetu Tunatik!kwa

    Kwa niaba ya walalahoi wenzangu jumla ya kaya 600 tunaomba serikali kubadikisha msimamo na kutuachia ardhi. serikali kupiti kilimo uyole inataka kutunyang'anya kipande cha ardhi cha heka 67 kwa ajili shamba la kilimo uyole. Ni ardhi yetu ya asili, tuliiendeleza kwa miaka mingi na kwa maelekezo...
  5. M

    Humphrey Polepole: Nataka CCM itafute mgombea mwingine wa u - Rais na sio Bi Samia Suluhu Hassan!!

    Wakati mwingine Polepole anakosea, ukisimama katika HAKI. Mimi nadhani Kugombea kwa Samia SH siyo tatizo kwa mujibu wa katiba ya JMT,-1977 na hata ya CCM yenyewe. Tatizo kubwa ni moja samia hataki ushindani sawa kwa wagombe wengine iwe ndani ya CCM au ndani ya JMT. Anatwaa kwa nguvu madaraka!
  6. M

    Jamii ya Druze inavyofutwa huko Syria. Hali inatisha sana

    Hivi kuna uhusiano gani kuuwa mtu/ watu na kisha kusema allah akbar?
  7. M

    KERO LATRA Mbeya simamieni changamoto ya Daladala kukatisha ruti

    Inasikitisha sana ni kama serikali kwa ujumla haipo Mbeya! Route zinavyoandikwa kwenye magari ni tofauti na uhalisia. Gari zimeandikwa Inyala stendi kuu, lakini zinaishia uyole!
  8. M

    JWTZ Yapata kazi ya kujenga madaraja Afrika ya Kati

    Huko mkono mmoja unajenga huku mwingine umeshika silaha!
  9. M

    Lumbesa inatuongezea umasikini Mbeya

    Brother wangu alikuwaga polisi pale central (R.I.P) hakunisaidia nilipokamatwa sina leseni ya udereva! Wakaning'angania wee bila msaada wowote! Sikuona maana tena ya kuwa na ndugu kutoka hayo maeneo.
  10. M

    Lumbesa inatuongezea umasikini Mbeya

    Mimi siyo mhalifu mkuu ni mkulima wa kawaida tu sasa kituo cha polisi tena!,😃
  11. M

    Lumbesa inatuongezea umasikini Mbeya

    Mkuu Lumbesa ya Mbeya ni hatari. Yaani na robo ya gunia! Lakini inawezekana wenzetu wameridhika kwa sisi Mbeya hatutaki. Wakulima wa Njombe ndiyo wanaendekeza lumbesa!
  12. M

    Lumbesa inatuongezea umasikini Mbeya

    Sasa hivi Mbeya ni kama serikali iko likizo kwa jinsi wafanyabiashara wanavyopora wakulima mchana kweupe. Ukiangalia Lumbesa ya gunia la viazi huwezi kubisha kwamba mkulima hapati chochote. Yaani heka moja ungeweza kupata gunia za viazi 70 kwa sababu ya Lumbesa utaambulia gunia 52! Viongozi...
  13. M

    Tangu Mbowe ashindwe uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA amekuwa kimya kabisa. Ushiriki wake kwenye siasa ni sharti awe kiongozi?

    Hiyo ni takataka ya siasa nchi haina faida tena, afadhari takataka ya dampo ukitembelea utaokota chochote!
  14. M

    Mayala: Samia Kaachie Kidogo kale Kasimba ka Kizimkazi

    Utampenda Mayala mwandishi wa habari na mwana CCM asiye mnafiki.
  15. M

    Zijue nchi saba zenye Walokole wengi

    Hiyo ndiyo takwimu ya watu watakaonyakuliwa (raptured). Mpendwa Hakikisha na wewe umo kwenye hiyo sensa ya watu wanaotarajia kwenda paradiso!
Back
Top Bottom