Recent content by mpangaladaniel

  1. mpangaladaniel

    JamiiForums Tanzania Money

    Inawezekana kupata hela sema mimi bado sijafikisha minimum requirements baba sio mtu mmoja nomemuona anapata fedha
  2. mpangaladaniel

    JamiiForums Tanzania Money

    Sijapata ila nina rafikiyangu alipata
  3. mpangaladaniel

    JamiiForums Tanzania Money

    Kama unahitaji kupata malipo kwa mtandao fungua hii link then fuata maelekezo ni rahisi sana na unaweza usiamni unaweza pata mpaka $1000 Jobrize.com - Earn from Your Home, Earning website for Students, Job-less people
  4. mpangaladaniel

    JamiiForums Tanzania Root Huawei Y-300

    Kaka ahsante kwa ushauri wako ila sasa nikisha ipata iyo infinity box kutoka google nifanye nn ili niweze ku-root simu yangu?@ zuku boy
  5. mpangaladaniel

    JamiiForums Tanzania Root Huawei Y-300

    Wadau naomba kama kuna mtu anajua jinsi ya kuroot huawei ascend y-300 anisaidie.
  6. mpangaladaniel

    JamiiForums Tanzania B.A in Geography and Enviromental Studies

    Duh kaka hiyo coz kuna bro wangu alisoma alimaliza 2010 hadi leo hana kazi yupo home maisha magumuuuuu!.
  7. mpangaladaniel

    JamiiForums Tanzania Busara na hekima zitumike wakubwa

    Kaka mimi naona hizo hazina utofauti na zingekuwa na utofauti pale tu iyo coz ya kwanza ingekuwa in private sector.Na kuhusu soko la ajira iyo inayobase kwenye public sector inasoko zaidi kuliko private lakini in general ukisoma accounting and finance utaangaika sana kupata ajira labda ujiajiri bro.
Back
Top Bottom