Mpasuko unaźidi kuongezeka huwez kuwaita watz zaid ya million6 waliompigia kura lowasa wanywa viroba wakat kuna watu wanajiheshim na kupigania hili taifa badala ya kuonyesha hata matumain unazidisha machungu da inakatisha tamaa snaa
Naomba kuuliza mkuu km una uzoefu na toyota premio uzur na matatizo yake??na ipi engine nzur kat ya D4 16 valve au vvt-i naomba ushauri mwenye uzoefu nayo.
Bank haziko km unavyozifikiria mkuu ukiendesha bank km unavyosema ww baada ya muda utafunga branch nyingi sanaa km baclayz walivyofanya kwa kukopesha mikopo isiyolipika mwisho wa siku lazima ushindwe tu..CRDB ina mising dhabit ya kuendesha biashara yake ndio maana kila mwaka faida inapanda tu...
Ni ajabu na kwel unaachana na bwana wa zaman unapata mpya unapita njian unamzungumzia tu km CDM inakufa kinachokuuma nin!!?? Na ulishakimbia huko CCM uliko zaid ya kusaidiwa tu kipi umepata?? Angalia nyumba yako kwanza waachie wenzio zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.