Recent content by mpambe

  1. M

    Tetesi: Madeni ya Mishahara kulipwa mwezi ujao

    Mwezi ujao kuna mpango wa serikali kulipa madeni ya watumishi na wazabuni, je madeni yanayohusiana na mishahara kama arrears yatalipwa?? Mwenye taarifa atujuze.!
  2. M

    Tanzia: Mmiliki wa hospitali ya Massana, Prof Lema afariki dunia

    Kama una ushahidi toa taarifa kwenye vyombo husika. Kuna wengine wamepona kupitia hiyo Hospitali.
  3. M

    Tanzia: Mmiliki wa hospitali ya Massana, Prof Lema afariki dunia

    Pole sana kwa msiba. Je wewe ni daktari? Kufa kwa hospitali siyo jibu la kilio chako. Tafakari.
  4. M

    Mshahara wa Disemba 2017

    Kama ameajiriwa mshahara ni haki yake..na lazima aishi kwa mshahara wake..vinginevyo awe mwizi.
  5. M

    Mshahara wa Disemba 2017

    Kuna ongezeko lolote?
  6. M

    Poor Health services of KCMC

    Yaani Leo tu ndio mapovu yote hayo? Kuna sanduku LA maoni..Ulikumbuka kuweka maoni yako?
  7. M

    Masters Jomo Kenyata

    Habari za jioni wanajf. Naulizia kama kuna mtu amesoma masters ya chuo cha JomoKenyata tawi la Tanzania..anipe experience yake, wako vizuri? Kwa maana ya ufundishaji na facilities nyingine.
  8. M

    James Mbatia unayoyafanya ni dhahiri Mrema anaumbuka

    Kumtembelea mkeo???? Sijaelewa. Wewe ni wale wanaowaacha wake zao vijijini??
  9. M

    Tanzia: Mmiliki wa hospitali ya Massana, Prof Lema afariki dunia

    MKUU UNAUSHAHID WA HAYO? AU UMEOKOTA BARABARANI NA KUJA KUWEKA HUMU??
Back
Top Bottom