Sasa inahusiana vipi na topic hii kumhusu Lissu? Hayo maji hayakuanza kuuzwa hiyo 500 hizo soda zilikuwa zinauzwa zaidi ya 500 na bado watu walinunua. Kama bei zitapanda si jambo la ajabu kiasi kutumia kutetea hoja hii kuhusu ukimya wa Lissu
1.Simba sio waoga Bali tunatumia haki yetu kama vile plateau walivyotumia haki yao!!?..
Kwan yanga mnahusikaje kwenye mechi ya klabu bingwa ambayo inawahusu Simba?!!
2. Shabiki wa Yanga alimfanyia vurugu shabiki wa Simba uwanja wa Chamanzi.
3. Ndio tumekiandaa tokea mechi ya kwanza ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.