Wakili Bashir Yakub amejielekeza vibaya na anatakiwa kupuuzwa kwa sababu zifuatazo.
Mosi , Kumeibuka wimbi la baadhi ya watu waliofaulu law school (mawakili) kuponda kwamba tatizo lipo kwenye vyuo vinavyoandaa wanafunzi wa sheria na sio law school.
Kama tatizo lipo vyuoni pekee Swali yeye...
Baraza la Vijana Kahama tunalaani vikali kitendo cha Jeshi la Polisi Tarime kumshikilia Mh Bulaya bila sababu ya Msingi ,Ikumbukwe kuwa Ukiachana na nafasi ya Ubunge aliyonayo Mh Bulaya ni RAIA halali wa Nchi hii hivyo anahaki zote na kwa Mjibu wa Sheria za Nchi kwenda sehemu yoyote bila...
Leo tarehe 4/1/2017 chama pendwa chama kilichokuwa kinasubiliwa na wanainchi kwa hamu na shauku kubwa kimezindua kampeni zake kata ya ISAGEHE wilayani Kahama uchaguzi huu umekuja baada ya diwani wa kata hyo kufariki mwaka jana
katika uzinduzi wa kampeni hizo zilizohudhuiliwa na
makamanda...
Tangu uchaguzi uishe na tangu bunge lianze, mbunge wa Kahama hajawahi kuonekana bungeni anachangia wala kuomba chochote. Ina maana Kahama hakuna matatizo na ukilinganisha hiki ndio cha bajeti?
Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA akiungwa mkono na vyama vinavyounda umoja wa katiba ya wanainchi UKAWA ametinga mjini Kahama kuwaona wagonjwa waliofukiwa kwenye machimbo ya Nyangalata na kuwapa pole.
Mimi kama mwanamabadiliko ambae napenda CCM itoke hata kesho, napendekeza mumbadilishe haraka sana repoter wa matukio ya UKAWA wa ITV maana taarifa zake haziniridhishi.
Napendekeza mmuweke Sam Mahela ili aweze kutoa taarifa zinazomtendea haki raisi wetu.
Wakuu habarini,
Poleni na mihangaiko ya hapa na pale, napenda nichukue fursa hii kuwatahadharisha ngazi za maamuzi za juu za chama changu cha mapinduzi kama watarogwa kurudisha kwenye uchaguzi jina la ngereja itakua imekula kwao, uchaguzi wa sengerema uligubikwa na rushwa ya wazi mpaka ikafikia...
Naomba ifahamike kua watanzania wana kiu ya kufanya mababadiliko baada ya kuwaamini CCM kwa mda mrefu sasa hawana imani tena na CCM wana imani kubwa na UKAWA.
Sasa ikitokea chama cha CUF mkawa kikwazo au chanzo cha kuleta mgogoro kwa kukubali kutumiwa kisiasa nawaombeni mjiandae kukosa Diwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.