Nawashauri mchonge sanamu yake au mjenge hekalu maalum la kumwabudu mungu wenu Lowassa. Watanzania wamefanya uamuzi na wamemchagua Magufuli awe mtumishi wao. Wengine eendeleeni kuota au kama nilvyoshauri endeleeni kumwabudu huyu mungu wenu wa uongo
Malalamiko haya ni matokeo ya CDM kugeuza jamii forum ndiyo ndio uwanja wa siasa. Tunadanfanyana hapa na makundi feki ukiambiwa ukweli tunaanza kulalamika. Twaweza wwmefanya utafiti siyo maneno matupu kama ya hapa JF
Vyama vya upinzani vinatakiwa kufanya kazi kukiondoa chama tawala madarakani lakini vya ukawa vinasema jukumu ni kuia CCM.kulikoni?au ni ule mkakati wa mabeberu kufuta historia?
Mbowe why do you call the election expenses act draconian law while it is trying to control the influence of money in politics? Do you know that In USA where you asking for help they have a law which require people like you who seek foreign funding for election purposes foreign agents? are you...
kuna watalaam makini wa siasa hapo UDSM kwa nini waandishi hupenda kuwatumia Bana na Mkumbo tu? By the way wote si watalaamu wa siasa. Bana ni mtalaamu wa Human Resource Management na Mkumbo ni Elimu.
Mods niliiweka ufafanuzi kuwa hamna UHUSIANO kati YA utafiti huo Na NGO ya TEDRO iliyofanya huo unaoitwa utafiti Lakini mumeondoa huo ufafanuzi.au nanyi mko kwenye kampeni kutumia jina la UDSM kwa faida YA hao wagombea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.