Balozi wa Israeli kaleta hati ya utambulisho Tanzania, ofisi ziko Kenya kwa ajili ya East africa countries. Infact Ubalozi wa Israel ni jambo la msingi kwa dini ya kikristo kwani Israel ni suala la imani kwa wakristo
Cuf wameachiwa Zanzibar coz wanakubalika, Rais wa Tz hawezi kutoka Cuf tena coz umoja unakosa maana. Na hata makamu wa Rais busara itumike sana asiwe chama kimoja na Rais. Lipumba ana haki ya kutangaza japo hekima ni muhimu sana ktk hili. Jana niliona vazi la Cuf kama Chadema vile nkafurahi
KUTAKUA NA MKUTANO WA HADHARA WA CHADEMA (W) YA ARUSHA MJINI KATA YA NGARENARO, VIWANJA VYA SHULE YA MSINGI NGARENARO, IJUMAA TAREHE 05.06.2015 KUANZIA SAA 8:00 MCHANA HADI SAA 12:00 JIONI
Wanachama, Wapenzi, Wafuasi wa CHADEMA & Wananchi wapenda mabadiliko
Wahutubiaji: GODBLESS J. LEMA (MB)...
CCM wamepagawa kwa hili tukio la Arusha. Miaka yote walioongoza CCM hawakuacha legacy leo Lema kufanya jambo ndani ya miaka mitatu ya uongozi wake mmeparalize. Na bado, ngoja movie ya ambulance iletwe kesho kutwa kama hamjakosa mgombea hapa Arusha. Monaban aka Philemon MOLLEL atakimbia mwentewe
CCM is a working dead, kwisha Habari yao. Dr Slaa amewaita ni cancer bado sio neno zuri amewahurumia. Mkitaka kujua Nape aitishe mkutano mwenyewe kama atapata watu. Ukerewe are reflecting the desire of many Tanzanians
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.