Umejichanganya Dada yangu. Kwa ujumla kila mwanaume anapenda awe na mke mnyenyekevu - submissive wife. Hili ni jambo la asili. Kinyume na hapo hakutakuwa na masikilizano.
Hivi ni kweli mwanamke hasipotongozwa inamuumiza? Kwasababu gani mkuu Sea Beast unasema mwanamke hawezi kushindana na mwanaume kwenye muktadha wa uhusiano?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.