Huku kwetu watoto hatujazaa cc lkn wanavyoandika balaa mala kokwa za embe kwny bomba la moshi kifusi cha mchanga kwny bonet mala umkute kwny roof pressure tupu!
Mkuu mimi huwa inanitokea Mara moja moja kuwa peke yangu hata kama nnafuba kiasi gani huwa natafuta sehemu tulivu natulia kimya na iwapo atatokea mtu wa karibu najiskia vbaya kuja karibu yangu lkn kuna siku huwa nahitaji kampani hata kwa gharama yangu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.