Admission uliijza peke yako iv haukijua utakachoenda kukutana nacho??????ungetafuta prospectus ya chuo kabla hujaaply pimbi ww..komaa au rudi kwa mtaaa.
Wakuu kwa aliepata taarifa kuhusiana na hii taarifa kuwa vyeti vya wanafunz wa form six waliomaliza mwaka 2015 kutopewa km baraza la mitihan lilivyo agiza kwa hofu ya GPA...hii taarifa niliona juu juu tu kwenye social media..cjaipata in detail...kwa aliesikia na alieipatia ufafanuz hii taarifa...
Ni vizur kwanza ungesema unataka plan ya aina ip ya project coz kuna aina kuu za project ambazo ni 3 ni community project, capital intensive project and small or profit making
project....
Let me assume you want a community project so in a conmunity project kuna hatua 3 muhimu ndizo ambao...
Hakika wewe ndio miongoni mwa maraic ambao nilitamani watokee kuliongoza taifa la TZ unajali hali za wanyonge kiukwel big up ndoto za kuelekea unii zilikua zimeshafifia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.