Recent content by Moudy Boka

  1. Moudy Boka

    Another BossLady in the House, Hodiii

    Post kama hizi huwa zinasaidia kutusahaulisha madudu ya watawala [emoji4] [emoji4] [emoji4] karibu boss lady ukisikia kelele za Wenger In /Wenger Out ujue ligi inakaribia kuisha [emoji3]
  2. Moudy Boka

    Toyota Alteza For Sale 4.7 ml fixed

    Siku hizi Vitz ina bei zaidi ya Alteza !
  3. Moudy Boka

    Mr Nice kawa dereva wa bodaboda?

    We huoni kama kuna tatizo? Jamaa alishawahi kukiri account yake ilishawahi kusoma salio la 1billion, lkn amezichezea now amejiajiri boda boda mtaji hata million 3 haufiki.
  4. Moudy Boka

    Kigogo wa Wema anaswa akiuza Mishikaki

    Hii mada si ya kijuha kuna funzo kubwa sana linapatika hapa, watu aina ya CK wapo wengi sana kitaani wanapata pesa wanazichezea mwisho Wa siku wanarudi chini kuanza upya. Kama vijana tunatakiwa kujifunza namna gani tuishi pindi tunapozikamata pesa.
  5. Moudy Boka

    Kigogo wa Wema anaswa akiuza Mishikaki

    Kuuza mishkaki sio kosa bali kosa ni kuhonga pesa zako zote ambazo ungeweza kuzifanya mtaji ukafungua biashara kubwa zaidi ya hiyo ya mishkaki
  6. Moudy Boka

    Wasanii waliofulia baada ya kujitoa kwa Babu Tale

    Mbona PNC hujamweka huyo ndo kachoka kabisa, Kuhusu Kassim naweza sema ndo msanii pekee anayefanya vizuri kwenye game baada ya kutoka Tiptop.
  7. Moudy Boka

    Tabia ya Wanaume wa Dar kudiscuss kina Wema Sepetu

    Kiukweli hayo mnayosema hayapo tu kwa wanaume wa dar hata huko mikoani ndo hivyo hivyo, ukihoji wanaume wa dar kusoma magazeti ya udaku then hoji wanaume wa JF wanaopita jukwaa la celebrity hamna tofauti habari ni zile zile za kina Wema, Diamond, Alikiba, Lulu cjui nani yaani umbea umbea halafu...
  8. Moudy Boka

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    Naomba kufahamu vigezo vya kusoma diploma na certificate kwa mwanafunzi mwenye cheti cha form 4 kwa vyuo vya biashara kama TIA na CBE.
  9. Moudy Boka

    Usiogope kujenga nyumba Tanzania kwa kuogopa gharama

    Kaka hapo umetupotosha, hata siku moja nyumba iliyotumika kama security haiwezi kuwa asset kwa aliyekopesha (bank). Kwa bank asset ni ule mkopo waliokukopesha, ukipitia hata financial statement za bank or any other financial institutions utaona kwenye asset kuna kitu kinaitwa "loan portfolio"...
  10. Moudy Boka

    Salon ya kiume inauzwa

    Matangazo ya hv yanaboa sana
  11. Moudy Boka

    Mark X 2006 inauzwa

    Mark X ya 2006 inauzwa bei 16.5m gari ilisajiliwa bongo mwaka jana mwezi wa 7.Ni gari ya mhindi ipo posta, jamaa anataka 16.5m.Kama upo interested check na mimi nikupeleke ukaikague.Gari ni almost new kabisa. Nipigie 0714099916
  12. Moudy Boka

    Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

    Duh wabongo tuna vichwa vigumu kha!!! Yaani mwaka 2014/15 unasema Jide ni bora zaidi ya Vanessa? Jide wa sasa hv c yule wa zamani hebu jaribuni kubadilika
  13. Moudy Boka

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    Waumini mdogo wangu ameharibu sana matokeo ya kidato cha nne, sasa nataka arudie mtihan lkn asikae kitaa. Naombeni ushauri kama kuna mtu anafahamu shule nzuri ya boarding kwa hapa dar inayoruhusu private candidate.
  14. Moudy Boka

    Msaada: Note 3 imeingia Maji

    Poa mkuu nimekupata J3 nitaenda
  15. Moudy Boka

    Msaada: Note 3 imeingia Maji

    Kaka nilishafanya hivyo haikuwaka
Back
Top Bottom