Recent content by motowntz

  1. M

    Rais Magufuli aongezewe Ulinzi

    eh mawazo chanya ila umetoka huko na humfahamu CDF wa sasa
  2. M

    Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni swali tu...

    kwa mantiki hii iweje una jumuisha kwamba 1.Acacia ni mwizi na 2.Kwamba atoe ushahidi mwenyewe za uthibitisho kuwa sio mwizi
  3. M

    Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni swali tu...

    ikiwa dio hivyo kwa sababu zipi umhukumu Acacia ndugu kama mwizi wetu na umuamulie atoe evidence yeye sio mwizi
  4. M

    Rais Magufuli aongezewe Ulinzi

    usichanganye mada ila ukisoma nilichoambatanisha nasema vita hivi vinweza kuangamiza taifa na wala sina maana tusikomeshe mauaji Kibiti la hasha
  5. M

    Rais Magufuli aongezewe Ulinzi

    Wadau nionavyo, ni muhimu sasa ulinzi wa Mheshimiwa Rais uimarishwe maana adui sio tu anayetajwa tajwa saivi. Kuna wengi kwenye sekta mbali mbali ambao wanaliona tonge lao likiondoka mdomoni wana ushawishi na uwezo mkubwa . Safari za rais nje ya nchi ziendeleee kudhibitiwa wasije kudungua...
  6. M

    Tafakuri Jadidi: Nani Anamwelewa Magufuli?

    kwa kweli ikiwa mtu unayo wazo, hilo ambalo ni nzito iweke mezani mashambulizi hayasaidi
  7. M

    Nilichojifunza Ziara ya Magufuli nchini Kenya

    Magufuli nchini Kenya nimebaini haya nikisaidiwa na katuni hizi Tofauti kati ya nchi inachochewa na wanasiasa wabinafsi Matatizo ya wananchi ni yale yale maana wakenya walikuwa wakimlilia raisi wetu atoe elimu kwa mwenzake jinsi ya kukabili tatizo tunao tumia mitandao hakikisha unafahamu...
  8. M

    Waziri Ndalichako awatimua Chuo walimu wa mafunzo waliompiga mwanafunzi shule ya Kutwa Mbeya

    kweli too emotional but selectively too mbona mauji Dodoma hatuoneshi lusikitishwa nalo
  9. M

    Waziri Ndalichako awatimua Chuo walimu wa mafunzo waliompiga mwanafunzi shule ya Kutwa Mbeya

    jambo hili limeonekana kuibua mwitiko haraka wa mawaziri karibia 3 Mwigulu, Ndalichako na Simbachawene. Lile tukio kibaya zaidi la mauwaji ya watafiti limetolewa ufafanuzi na mkuu wa wilaya kwamba hawakutoa taarifa. Binafsi nashangaa iweje tuchangamkie hili na tusite kushughulikia mauwaji yale...
  10. M

    Rais Magufuli: Tetemeko halijaletwa na Serikali, watu wafanye kazi

    Ni mtizamo tu. Serikali za nchi tofauti (baadhi zikiwemo Kenya, Uganda,China} zimechangia. Watu Binafsi wamechangia. Kampuni za mafuta zimejitolea kujenga shule 2 kati ya 4 zilizoathirika. Kati ya misaadi ni pamoja na mabati. Hadi hapo serikali ya Jamhuri ya Tanzania haijatangaza imejipanga kwa...
  11. M

    shambulio Mombasa yahusishwa na la Mbande

    Al-Muhajiroun’s Muhajirah 1st Stab on Terrorism in Kenya Al-Muhajiroun’s Muhajirah 1st Stab on Terrorism in Kenya On Sunday 11th of September 2016 at approximately 1000hrs EAT, Tasnim Yakub Abdullahi Fara & Fatuma Omar and another jihadist identified as Mariam, all inspired by Al-Muhajiroun...
  12. M

    President John P. Magufuli's next 1,600days: From Bulldozer to Mastercraftsman?

    Indeed Aidan you have done justice to the futuristic view of Raisi s options. There are two possibilities either to take this as advice or to take affront and close the doors to useful input . Which shall it be for the powers that be
  13. M

    CEO WA AZAM MEDIA angatuka

    CEO Azam Media Rhys Torrington , mwenyeji wa Uingereza amejiuzulu wadhifa huo na kuhamia Econet Media inayomilikiwa na Mzimbabwe , Strive Masiwiya.
Back
Top Bottom