Recent content by motonkali

  1. M

    Zitto: Nimefuatilia uvumi na mjadala mtandaoni kuhusu afya ya Mheshimiwa Rais wetu. Nina matatu ya kusema...

    Mungu ni upendo. Tupendane. Suala hili lisifanyiwe masihala.
  2. M

    Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa kiuchumi?

    HaHapa hitaji kuwa umesoma uchumi. Ni Common sense tu wakati fulani inatawala Kuna kusom sana bila kuelimika; na kuna kuelemika bila hata kwenda shule. Elimu ni maarifa na ufahamu zaiidi ya mambo yanayokuzunguka na namna ya kuyakabili na kuyatatua...
  3. M

    Mnatambua kuwa baadhi ya Maamuzi ya Magufuli yanaligharimu Taifa kiuchumi?

    Siku za karibuni humu kumegeuzwa sehemu ya matusi zaidi kuliko kujibu hoja . Mtu hajaisoma hoja na kuielewa anananza kubwabwaja tu. Tusiendekeze ushabiki. Kwenye ukweli pabaki ni ukweli tuweze kusogeza taifa mbele. Bila kukosolewa mwanadamu hatakaa ajifunze.
  4. M

    Waandishi, viongozi wa dini, wahadhiri wanaipenda CCM au wanaiogopa

    Wanaiogopa. Hata baadhi ya wana JF humu wanawoga; wanachangia kwa kutoa hoja dhaifu bila kujadili mada yenyewe. Ni upofu mkubwa.
  5. M

    Mbunge wa Ubungo, Mhe. Kubenea akamatwa kwa amri ya DC Makonda

    Yote haya ni kukosa mafunzo ya utawala bora. CCM ni kama mchanga wa bahari na mawimbi. Wanasukuma sukuma tu bora lende. Ni hatari kwa maisha ya wananchi. Tuna watawal na siyo viongozi.
  6. M

    CCM tuna hali mbaya sana, inasikitisha kweli!

    Nia ya CCM iikuwa ni kupata watu wengi bungeni kwa akili ya kujibu Ndiyooooo! Habari ya uongoza watanzania haipo. Unategemea kwenye kundi hilo atoke waziri! Thubutu.Ujinga ndiyo silaha ya ccm.
  7. M

    Hivi CCM hawana UKANDA, wao si wadini?

    Hii ccm ni ile wazee wako waliianzisha au ccm maslahi? CCM ya kurithishana. Baba, mjomba, shangazi, mtoto na maswahibs ktk uongozi. Je, hiyo ndiyo ccm unyoijua wewe kweli.Maana mtu husifia alichokikuta hata kama hajui asili yske. Kalaga baho.
  8. M

    Hivi CCM hawana UKANDA, wao si wadini?

    Wewe ccm umeanza kuijua lini. Usishabikie kitu usichokijua kwa kuambiwa tu au kukariri.Kaome historia ya chama chako ilivyokuwa huko nyuma na ilivyo sasa halafu uje na hoja ya msingi inayoonesha upinzani ulianzaje na kwa nini uwepo.
  9. M

    Kuna Uhusiano Kati ya Dr. Medard Kalemani ( Naibu Nishati) na Magufuli?

    Udugu unapokuwa ccm. Ukiwa mpinzani ni ukanda na udini. Siasa za uani na jikoni hazifai. Kwenye ukweli uongo na upuuzi ujitenge. Tuwe waungwana na wakweli. Jibu hoja.
  10. M

    Hivi CCM hawana UKANDA, wao si wadini?

    ccm hawajitambui. Wengi ni wachumia tumbo kila kitu wanakaririshwa lakini maana yake huwa hawajui. Ni kasuku hao.
  11. M

    Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

    Habari wana JF. Mimi siyo shabiki wa chama chochote cha siasa. Nasikitishwa sana na badhi ya wahariri wa magazeti hapa nchini kwa kushindwa kufanya kazi ya kuelimisha wananchi hususani wakati huu wa kuelekea uchaguzi mkuuu jinsi gani wananchi wanatakiwa kujiandaa kupiga kura, badala yake...
Back
Top Bottom