jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Hujajibu nilichokihoji bwa mdogo!hapa tunamshauri magufuli na sio ccm na ndio maana kwenye uchaguzi alikuwa anasema chagua magufuli na sio ccm...acha upuuzi huu uzi umekupita uwezo na iq yako kama dental formula ya kuku.
Nimehoji hivi....Mtetezi wa ufisadi atamshauri nini muadilifu?....fanya assumption unayoitaka ya kuwa Magufuli sio mwanaccm..
kumbuka kwenye huo huo uchaguzi mlikuwa mnazungushwa mikono kwa ajili ya lowasa na sio Chagadema au Ukiwa!