Yetu visa vingi havijulikani Kwa sababu hata likikukuta familia hairuhusiwi kusema chochote. Pili, ni ishu ya uhuru wa vyombo vya habari. Waandishi wengi hawafati weledi na wametishiwa kuripoti matukio ambayo yataonyesha serikali ya ccm haipo makini. Kenya hilo halipo ndio maana visa vingi...
Wengi tumefurahi mikeka kutiki mkuu. Nikiweka 350000 Kwa kuipa Kenya na Madagascar over 1.5 na Moroko ashinde. Nikala pesa nzuri sana. Ila kiukweli kwenye uhalisia ni kama ulivyosema. Umeongea bonge la point
Achana nae asilimia kubwa ya hii dini akili zao ni kiduchu mno. Huoni hata anavyoandika tu unajua Kuna shida. Mwambie Hamas wanashinda,mtaelewana. Dunia imefika mahali ambapo kupingana na watu wa hii Imani ni kupoteza muda. Wakiambia majani ni meupe kubali ili kunusuru muda wako. Kuna shekhe...
I think it's time to vindicate, investigate and provide answers to this "men" of God who goes ahead and give an exact date when an occurrence is to occur. NOT NORMAL!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.