Recent content by moto2012

  1. moto2012

    Kauli zipi tamu hauwezi kuzisahau kwa jinsi zilivyokuletea shida/tatizo kubwa?

    Asante nimepata nauli, subiri kidogo nitakushtua.
  2. moto2012

    Serikali imeona wabunge wamepuyanga bungeni imerudi kukusanya maoni kwa wenye akili timamu

    Dunia ina mengi....mlango wa Makamu unaweza kutenda miujiza kama ilivyo sasa. Never say never !
  3. moto2012

    Inawezekanaje mtu anataka kuwa mchepuko!

    Anakuona boya [emoji23][emoji23]
  4. moto2012

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Watapigwa kama ngoma
  5. moto2012

    Waimbaji kumi bora wa nyimbo za injili kuwahi kutokea hapa Tanzania mpaka sasa

    Waimbaji alo waweka ni lia lia....
  6. moto2012

    Mabenki yaanza kukusanya Tozo za Serikali kwenye miamala wanayofanya wateja

    Hivi hatuna wazalendo kuishtaki serikali kwa.huu uhalifu? Mimi hata sielewi tozo ina misingi ipi ya kisheria na kimaadili. Fikiria mfanyakazi ambaye amekwisha kulipa kodi, msingi wa tozo kwenye miamala anayofanya ni upi?
  7. moto2012

    Hivi Raha/Starehe ya Pombe ni kulewa au ladha?

    Ladha ni secondary issue, primary goal ni stimu, iwe kulewa au vinginevyo..
  8. moto2012

    Msaada kuthibitisha kampuni ya uuzaji wa zana za kilimo ya Seroto ka Africa (PTY) LTD ya Afrika Kusini

    Asante Ubalozi SA Tz simu haiconnect na email hawajibu. Ubaloza wa SA hawajibu emails pia. But I'm trying
  9. moto2012

    Msaada kuthibitisha kampuni ya uuzaji wa zana za kilimo ya Seroto ka Africa (PTY) LTD ya Afrika Kusini

    Akili imenijia baada ya kutaka nilipe insurance, hii taarifa yako ni ya msaada pia, manake inaweza niokolea dola 2,400+
Back
Top Bottom