Recent content by moto2012

  1. moto2012

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata mbegu za MTIPITIPI (rosary pea/jequiry bean)?

    Masakadumba hayo
  2. moto2012

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Lissu atawauliza maswali ya kichokozi sana, hasa kwenye maeneo tofauti tofauti ya ushahidi wa Heche, Kamata kamata ya wapinzani, watu kutekwa na kupotezwa, mauaji wakati wa kampeni na chaguzi, na aliyetoa amri ya shoot to kili Oktoba 29. Kwa nafasi zao wakijibu hawajui ni kujimaliza. Hata kama...
  3. moto2012

    JamiiForums Tanzania Je, kuwalazimisha vijana kushiriki Mafunzo ya Mgambo kuna tija kwa Taifa?

    Back up ambayo inajenga chuki ni ya maana gani sasa?.
  4. moto2012

    JamiiForums Tanzania Je, kuwalazimisha vijana kushiriki Mafunzo ya Mgambo kuna tija kwa Taifa?

    Vijijini mambo ni tofauti sana. Hili linafanywa kama sehemu ya upigaji
  5. moto2012

    JamiiForums Tanzania Je, kuwalazimisha vijana kushiriki Mafunzo ya Mgambo kuna tija kwa Taifa?

    Kumekuwa na utaratibu usio rasmi wa kuwalazimisha vijana kujiunga na kushiriki mafunzo ya mgambo. Vijana wanalazimishwa kuacha shughuli zao na kushiriki mafunzo ya mgambo. Kwa wale watakao kataa hukamatwa na kutozwa faini ya Tsh. 50.000/=. Matokeo yake vijana hujificha au kukimbilia mijini na...
  6. moto2012

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Wakuu nauza matairi ya malori bei nafuu sana

    WekaAina, size ya tairi na bei halisi ili wateja wako wajue na wajiridhishe unafuu wa hizo bei unazotamba naO. Dunia ya utanawazi hii
  7. moto2012

    JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinaondosha baraka za Pesa kama zinaa/Pombee

    Kwenye pombe ni uongo bhana
  8. moto2012

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Wafuatao ni mbuzi wa kafara. Soon mtasikia!.

    Hili linaweza kuwa lina ukweli...wengi Mawaziri walioachwa wa nongwa kwenye wizara zao...Biteko kama N/waziri mkuu, Jenister mapicha yanayozagaa, Bashungwa mauaji na utekaji wa Mapolisi, Ndumbaro mambo ya Mahakama, Tax tuhuma za mamluki kutoka UG na Zenji
  9. moto2012

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dkt. Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Mtandao 2nd Generation is on the show. Mamaee JeiKei na UVCCM mtandao ya Madelu, Imma, Makamba, Makalah, Shigos Martin.....
  10. moto2012

    JamiiForums Tanzania Kuna kampeni inaendelea kwenye Media ya kuhalalisha mauaji yaliyoyafanywa na Polisi. Hawa watu wanatuonaje Watanzania?

    Hili nimeliona taarifa ya hbari ya saa 2 usiku ITV na imekuwa ni utaratibu wao karibu wiki nzima sasa. Wajiangalie
  11. moto2012

    JamiiForums Tanzania GE2025 TLS yacharuka juu ya vitendo vya udhalilishaji wa mawakili (Tukio la Kupigwa kwa Wakili Mahinyila)

    Maandamano.yahusishe wananchi wote wanaokerwa na matendo ya polisi
  12. moto2012

    JamiiForums Tanzania Kuna shida gani Man Utd, licha ya usajili mzito bado wapo kama msimu uliopita?

    Mfu hasemwi vibaya.....kwa kawaida lawama zinaenda kwa dokta(kocha)wauguzi (wachezaji)na ndugu (viongozi)Tukubali tu Man U ishakata roho, twendeni tukazike.
Back
Top Bottom