Hivi hatuna wazalendo kuishtaki serikali kwa.huu uhalifu? Mimi hata sielewi tozo ina misingi ipi ya kisheria na kimaadili. Fikiria mfanyakazi ambaye amekwisha kulipa kodi, msingi wa tozo kwenye miamala anayofanya ni upi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.