Hili linaweza kuwa lina ukweli...wengi Mawaziri walioachwa wa nongwa kwenye wizara zao...Biteko kama N/waziri mkuu, Jenister mapicha yanayozagaa, Bashungwa mauaji na utekaji wa Mapolisi, Ndumbaro mambo ya Mahakama, Tax tuhuma za mamluki kutoka UG na Zenji
Mfu hasemwi vibaya.....kwa kawaida lawama zinaenda kwa dokta(kocha)wauguzi (wachezaji)na ndugu (viongozi)Tukubali tu Man U ishakata roho, twendeni tukazike.
Wewe umefanyika baraka. Usiipoteze hiyo baraka msaidie kama ipo ndani ya uwezo wako. Utalipwa na Allah kwa mlango mwingine, hata kama sio wewe basi inaweza ikawa hata uzao wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.