Recent content by moto2012

  1. moto2012

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Wakuu nauza matairi ya malori bei nafuu sana

    WekaAina, size ya tairi na bei halisi ili wateja wako wajue na wajiridhishe unafuu wa hizo bei unazotamba naO. Dunia ya utanawazi hii
  2. moto2012

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna kitu kinaondosha baraka za Pesa kama zinaa/Pombee

    Kwenye pombe ni uongo bhana
  3. moto2012

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Wafuatao ni mbuzi wa kafara. Soon mtasikia!.

    Hili linaweza kuwa lina ukweli...wengi Mawaziri walioachwa wa nongwa kwenye wizara zao...Biteko kama N/waziri mkuu, Jenister mapicha yanayozagaa, Bashungwa mauaji na utekaji wa Mapolisi, Ndumbaro mambo ya Mahakama, Tax tuhuma za mamluki kutoka UG na Zenji
  4. moto2012

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Dkt. Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Mtandao 2nd Generation is on the show. Mamaee JeiKei na UVCCM mtandao ya Madelu, Imma, Makamba, Makalah, Shigos Martin.....
  5. moto2012

    JamiiForums Tanzania Kuna kampeni inaendelea kwenye Media ya kuhalalisha mauaji yaliyoyafanywa na Polisi. Hawa watu wanatuonaje Watanzania?

    Hili nimeliona taarifa ya hbari ya saa 2 usiku ITV na imekuwa ni utaratibu wao karibu wiki nzima sasa. Wajiangalie
  6. moto2012

    JamiiForums Tanzania GE2025 TLS yacharuka juu ya vitendo vya udhalilishaji wa mawakili (Tukio la Kupigwa kwa Wakili Mahinyila)

    Maandamano.yahusishe wananchi wote wanaokerwa na matendo ya polisi
  7. moto2012

    JamiiForums Tanzania Kuna shida gani Man Utd, licha ya usajili mzito bado wapo kama msimu uliopita?

    Mfu hasemwi vibaya.....kwa kawaida lawama zinaenda kwa dokta(kocha)wauguzi (wachezaji)na ndugu (viongozi)Tukubali tu Man U ishakata roho, twendeni tukazike.
  8. moto2012

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano wa kusajili kampuni ambayo ni Single member company ?

    Hiyo sio Sole Propriator?
  9. moto2012

    JamiiForums Tanzania Niliwahi kumuona kama rafiki ila yeye alinitumia kama rasilimali, kakwama anataka msaada, Nimsaidie ?

    Wewe umefanyika baraka. Usiipoteze hiyo baraka msaidie kama ipo ndani ya uwezo wako. Utalipwa na Allah kwa mlango mwingine, hata kama sio wewe basi inaweza ikawa hata uzao wako
  10. moto2012

    JamiiForums Tanzania Asante sana Polepole hili ulilozingumza leo ni zito sana umelisanua Taifa juu ya Chaguzi feki, na vyama feki

    Nina mashaka na NIDA na DCEA huenda wanatumika
  11. moto2012

    JamiiForums Tanzania Ni nini uandhani kitaamuliwa leo Kisutu kwenye kesi ya Tundu Lissu

    No live streaming. Kesi itaahirishwa na tarehe ijayo dpp ataondoa kesi
  12. moto2012

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya ulipaji wa ushuru wa magari bandarini

    Dhamana ni nini?
Back
Top Bottom