Recent content by Moto Tingisha

  1. Moto Tingisha

    JamiiForums Tanzania Kitilya asota rumande miaka 2

    Kwan Huyo Sioi Ndio Yule Mkwe Wa Lowasa Au Ni Mwingine! Ndio Yule Aliyegombea Ubunge Akashindwa Na Joshua Nasari? Sorry Lkn.
  2. Moto Tingisha

    JamiiForums Tanzania Ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumlawiti mgoni wake

    Angejua Ndio Adhabu Anayokwenda Kupewa Ya Kufungwa Maisha, Angemkata Kabisa Na Hicho Kitombeo Chake Ili Akafungwe Vzr! Na Huyo Mwanamke Nakifyekelea Mbali Kidude Chake, Pumbavu. Sasa Hv Jamaa Ndio Atakuwa Mume Kabisa Anajilia Kilaiiinii! Daah!. Mm Dunia Ingenichukia.
  3. Moto Tingisha

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyookoa simba asiuwawe na wananchi

    Kwani Huyu Jamaa Ni Jamii Ya Wahutu Au Mndorobo!! Mbona Kiswahili Chake Kina Matege? Huyu Sio Jamii Ya Nyerere.
  4. Moto Tingisha

    JamiiForums Tanzania VITUKO DUNIAN

    Wale Vitombi Kazi Kwenu!! Wabongo Wanapenda Sana Haya Mambo!
  5. Moto Tingisha

    JamiiForums Tanzania Ingekuwa wewe ungefanya nini?

    Na Mimi Namtengezea Mchongo Wa Kumfumania! Namwandaa Kijana Namuweka Sawa Kuanzia Meseji Mpaka Fumanizi, Halafu Ngoma Inakuwa Droo
  6. Moto Tingisha

    JamiiForums Tanzania Haya maelezo ni uongo juu ya A220-300

    Halafu Nasikia Inatumia Petrol!! Hii Ndege Ya Ajabu Sana.
  7. Moto Tingisha

    JamiiForums Tanzania Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

    Haya Ndio Matatizo Ya Mfumo Wa Elimu Ya Kwetu Tumejengwa Au Kutayarishwa Kuajiriwa Tu Baada Ya Kuhitimu Elimu Zetu! Hata Wale Wanaosomea Masomo Ya Sanaa, Biashara Nao Wanatoka Wakijua Wanaenda Kuajiriwa Mwisho Wa Siku Ndio Hayo Ya Kujiua Au Ulevi Wa Kupindukia, Unakuwa Na Msongo Wa Mawazo...
  8. Moto Tingisha

    JamiiForums Tanzania Tulivyojiingiza chaka kwenye vita bandia ya Ushoga... Gharama yake hatuiwezi hivyo tujitoe haraka.

    Nimekuelewa Mkuu, Kwamba Si Kila Vita Ni Ya Kupiganwa. Wakati Mwingine Sisi Wenyewe Tusiopenda Ushoga Ndio Tunawavumisha Kwa Kuwasemasema Ama Kuwatangaza! Hawa Jamaa Ilitakiwa Tunawamaliza Chinichini Na Kimyakimya Tu Bila Mtu Yeyote Kujuwa Na Kuhakikisha Hawapati Pa Kusemea Huo Upumbavu Wao...
  9. Moto Tingisha

    JamiiForums Tanzania Majina ya hawa viongozi wengine ni. yapi?

    Pinda ... Mtoto Wa Mkulima Mkapa... Mzee Wa Malofa Mugabe... Mzee Wa Degree 9
Back
Top Bottom