Ukisafiri routes za makambako~songea~lindi to DSM kuna baadhi ya gari zina utaratibu mbovu kwel mda wa kuchimba Dawa abiria wanashushwa porini utasikia kiume mbele ya gari na kike nyuma ya gari watu wazima kwa sababu tuu wamebanwa hawana namna
Chamsingi vyoo vipo humo njiani sijui kwanini...
Tatizo kubwa hapa n kukosekana kwa taarfa sahih tangu ukiwa advance kwa maana wengi wanafikiri ukifka Chuo mambo mteremko tuu kama enzi za akna JK
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.