Mkuu sisi hapa tuna mashamba mengi ya lime na tumeweka drip irrigation kabisa lakini kwa sasahivi sokoni hakuna bei nzuri nawezaje kuyatunza muda mrefu ikiwa kwenye package box ili niuze kwa muda wote.
Safi sana
Mimi kidogo niko nje ya mada baada ya kuona umezungumzia limao.
Sisi kwetu tunalima limau na ndimu sana lakini changamoto ni soko (hakuna bei), hadi kufikia bei ya juu maana yake msimu umeisha.
Nawezaje kuhifadhi ili niuze baada ya msimu.
Mkuu nimetengeneza template ya matokeo ambayo nikiweka alama inanipangia wastani,position na grade.
Sasa nimekuja na wazo jengine maana idadi ya wanafunzi inazidi kuwa kubwa, wazo langu ni kutengeneza fomu ya somo moja moja ili kama najaza hisabati iwe hisabati tu then zile data ziingie kwenye...
Wakuu naomba kufamishwa kuondoa lugha nyengine katika word na excel
Pia document zangu zote zimeharibika na sasa zinasomeka vyengine mfano
Sasahivi.veza badala ya sasahivi.doc
Taarifa zako umejaza upokee wapi?
Kwa uzoefu tu mzigo wako utapokea posta pia siku hizi kuna kampuni inapokea mizigo kutoka Aliexpress na ukifika watakupigia simu.
Habari yako mkuu,
Nipo ebay kipindi kirefu lakini sijawahi kufanya order hata moja huwa naangalia bidhaa then bidhaa ile nalinganisha na Aliexpress basi huku naiona bei afadhali. Nafanya order kupitia Aliexpress.
Sasa huku ebay kuna category ya selling je? Hii hutumikaje au ni mimi nikitaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.