Mkuu kiukwel umeanzisha huduma nzuri na itasaidia watu wengi sana
Naomba kama htojali nipe connection mim nipo Mwanza naweza kua naksaidia kaz zako Kwa wakaz wa mwanza hasa Mwanza mjini, ilemela mpaka magu bila shida maana n mwenyeji na hua napiga ruti sana za kwenda hizo sehem
Sent from my...
Hii Dunia n mzunguko na cheo n dhamana enzi za jpm makonda alikua Rc hku chongolo akiwa DC wa kinondoni Leo hii chongolo n boss wa makonda na wamektanishwa aiseh tujifunze kuishi vizuri na Kila mtu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.