Recent content by Morris_kauki

  1. M

    Tuliowahi kuagizwa Mzazi shuleni tukaleta wazazi feki tukutane hapa.

    Nakumbuka jamaa angu alileta mzazi feki bwana jamaa alikuwa mtu wa logic si tukashangilia leo walimu kazi wanayoo ikatokea mzazi anatakiwa amwadhibu mtoto wake daaah jamaa alifanyia kazi hiyo adhabu hadi waalimu wakasema utamua huyo mtoto msamehe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  2. M

    TANZIA Mwasisi wa CHADEMA, Edwin Mtei afariki Dunia

    Baba wa CHADEMA ndo huyu sasa
  3. M

    Mlima Kitonga vs Mlima Sekenke, upi mkali?

    Mlima Kitonga hapanaa umetia fora ila mlima Sekenke shida yake ni kona kali mto mmoja una madaraja saba just imagine
  4. M

    Mwenye nyumba yangu alipotea hata ndugu zake siwajui, sasa nimejenga kwangu, Je niendelee kupangisha?

    Kwangu mimi ni bora wewe uende kwenye nyumba yakoo ila ubaki kuwa baba mwenye nyumba kwa nyumba ya huyo aliyeondoka alafu uendelee kutunza kodi zake mimi naamini kwa msaada wa vyombo vya dola ndugu zake ata watoto wake wanaweza kupatikana mwisho wa siku wakabidhi nyumba yao wakabithi pamoja na...
  5. M

    Padri Kitima: Ali Kibao amekamatwa kwenye halaiki mchana, wanasema tunyamaze? Uovu lazima tuukemee!

    Walichokoza kibiritii sasa kinamwaga chechee mpaka kielewekee
Back
Top Bottom