Nakumbuka jamaa angu alileta mzazi feki bwana jamaa alikuwa mtu wa logic si tukashangilia leo walimu kazi wanayoo ikatokea mzazi anatakiwa amwadhibu mtoto wake daaah jamaa alifanyia kazi hiyo adhabu hadi waalimu wakasema utamua huyo mtoto msamehe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwangu mimi ni bora wewe uende kwenye nyumba yakoo ila ubaki kuwa baba mwenye nyumba kwa nyumba ya huyo aliyeondoka alafu uendelee kutunza kodi zake mimi naamini kwa msaada wa vyombo vya dola ndugu zake ata watoto wake wanaweza kupatikana mwisho wa siku wakabidhi nyumba yao wakabithi pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.