No kilimo poa yenye uha kika kutokana na kustahimili ukame.Kuhusu solo la uffuta no simple xana mfano Dom store zote za mazao wana nunua kwa bei za uhakika na bila usumbufu.Ila chakuangalia xana ni umakini kwenye madawa kutokana Na hali ya hewa magojwa ya uffuta nayo yamekua mengi eg traffik
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.