Kuna rafiki yangu yupo katika mahusiano takribani miaka 4 sahivi, na toka waanze uhusiano na huyo kaka, walipendana sana yani na huyo rafiki yangu siyo mtu mwenye tamaa ya hela kitu ambacho wasichana wengi wa siku hizi wanaangalia sana.
Alikuwa anamsaidia huyo kaka hata akiwa na shida ya hela...
Tena hyo hela kwa kiti kimoja ni ndogo sana ilitakiwa mara mbili ya hyo maana ni viti vinavyoagizwa nchi nyingne cyo Tz xo bado wamewahurumia sanaaa,Wanafanyaje uharibifu ka ule makusudi wakutegemea kesho na wakae wap?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.