Kuweni BOLD na mwende katika vyombo vya usalama mkautoe huo ushahidi ili MHUSIKA huyo mumsemae na mnaemfahamu akamatwe na kuchukuliwa hatua stahiki .... na si kujificha nyuma ya keyboard tena chumbani ....afu walalamika tu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji1] kiongozi hiyo fonti fedi ... ulimaanisha front page? ..... Kweli kama usemavyo hii lugha sio rafiki .... but tukaze boot tutafika
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hiyo kodi yalipwaje endapo maeneo hayo ya viwanda yamegeuzwa ma godowns ya kuhifadhia/kufichia bidhaa zao fulani? .....
Na kwingine kumegeuzwa malisho ya ng'ombe wao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye MPUNGA hapo badala ya kujengea STANDARD GAUGE RAILWAY .... tugawiwe wananchi hata nusu na robo kila mmoja tukapike WALI..... nawaza kwa sauti
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimechekaje [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] .... hakika Jf hsijawahi muacha yeyote na huzuni
Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.