Tu wepesi wa kutoa kauli bila kujua ukweli wenyewe.
Wengi wanafikiri Alikiba karudi baada ya mafanikio ya kina Fulani.
Ally alikaa muda huo bila kuimba kutokana na mambo mengi sana msiyoyajua.Hugo Afande umfananishaye kaimba nyimbo nyingi sana ila hayupo pale alipokuwepo.
Aliitwa King na MTV na...
Si kwamba nafurahi kama kosa limefanyika kwa namna jiyo wafanywe nini? Waendelee na vikao vya bunge? Ama wafanywaje kwenye kamati ya maadili wamesema nini hao waliopiga kelele? Hiyo namna ya kudai haki si nzuri nakumbuka walivyotoka bungeni kipindi Rais amafungua bunge je , ilizuia Rais kutokuwa...
Hivi kwa kosa walilolifanya walistahili adhabu ipi zaidi.
Wameniboa kutumia njia ile kudai haki.Huu ni mwendelezo wa kuwa right kwenye wrong way. Sa wamewaacha hao wanaodai mafisadi huru wakifanya wakitakacho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.