Recent content by Moringe Sokoine1

  1. M

    Must read !! For all kenyans and Tanzanians

    Hakuna ubaya kumuiga Rais Magufuli Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Kwakuwa Rais Magufuli kaingia vitani dhidi ya mabepari,ni jukumu letu kupambana na vibaraka wao

    Mawakala Wa Wezi,Waporaji Na Mafisadi Ni Wengi Utawasikia Wakipiga Kelele Kumtoa Mhe Rais Kwenye Malengo Na Mipango Aliyonayo Juu Ya Tanzania. Kazi Hiyo Hawafanyi Bure Wanalipwa..... Hakuna Asiyejua Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Spika Ndugai ajiridhisha wabunge 8 wa CUF kufukuzwa uanachama. Asema wamekosa sifa za kuwa wabunge

    Kweli Profesa Si Mtu Wa Mchezo Mchezo Hahahahaha Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
  4. M

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Humkuchagua na hutamchagua ila wengi tulimchagua na tutamchagua wengi zaidi 2020
  5. M

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    *HAKIKA NITAMCHAGUA TENA 2020* Kama kuleta nidhamu kwa viongozi, watumishi na watendaji serikalini ni udikteta, basi nitamchagua tena *MAGUFULI 2020* Kama kuwaondoa watumishi hewa, wanafunzi hewa wa msingi, sekondari na vyuo vikuu; pamoja na kukabiliana na vitendo vya ubadhirifu, ufisadi...
  6. M

    Waziri Mkuu Majaliwa: Viroba marufuku kuzalishwa wala kutumiwa kuanzia Machi 01, 2017

    Itasaidia sana kuokoa nguvu Kazi. Uamuzi mzuri nauunga mkono....
  7. M

    Serikali imevifuta Vituo vyote vya huduma za Afya ya VVU na UKIMWI kwa watu wa makundi maalumu

    1. Ifahamike kuwa tuna Vituo vya Kutoa huduma za VVU na UKIMWI takribani 4,737 katika ngazi na Halmashauri mbalimbali nchini. Hivi vinaendelea kutoa huduma ikiwa ni pamoja na huduma za kitabibu (Bio-Medical interventions); Huduma za mabadiliko ya Kitabia (Behavioural Interventions) na Huduma za...
  8. M

    Mwenyekiti UVCCM Moshi Vijijini ataka walioisaliti CCM wafukuzwe

    Mwenyekiti wa UVCCM Moshi Vijijini Ndg Masiga Gulatone amesema anashangazwa kuona takribani miaka miwili imepita toka uchaguzi mkuu ufanyike bila ya CCM kuwachukulia hatua waliokisaliti wakati wa uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na Rais hivyo ameomba viongozi katika ngazi zote kuanzia ngazi ya...
  9. M

    Kati ya mitaa/vijiji 8 CCM imeshinda 7, nini maana yake?

    Ushindi katika chaguzi ni kielelezo cha kukubalika, kuimarika na kutimia kwa shabaha ya chama cha siasa. #Pongezi CCM kwa ushindi
  10. M

    Mbatia akimbiwa na wanachama Jimbo la Vunjo

    NCCR Mageuzi imezidi kupata pigo baada ya kukimbiwa na wanachama wake wapatao 52 akiwemo diwani wake wa kata ya Kilema kusini ambaye alitangaza muda wowote kujiunga na CCM ajulikanaye kama Honorati Mosha maarufu kama Kawawa. Wananchi wa Jimbo la Vunjo wamelalamika ni takribani mwaka wa pili...
  11. M

    Picha: Matumizi ya bilioni 10 kwa UDSM kama yanavyoonekana kwa sasa

    Kazi nzuri sana. Najivunia kura yangu imekuwa ya matokeo mazuri
  12. M

    January Makamba ajihami kupitia

    Amekuwa Mh Rais akituomba tumuombee ili Mwenezi Mungu amjalie hekima na busara katika kututumikia. kamwe hawezi kufanya kwa mitandao ya kijamii.
  13. M

    Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

    Mange hajawahi kuwa mkweli. kama alipata mtoto wa kwanza wa kike mweusi lakini akamdanganya mzungu wake anayeishi naye TEXAS eneo ambalo gharama za maisha ziko chini kuliko sehemu yeyote nchini Marekani.
Back
Top Bottom