Hellow wana JF tafadhalini nahitaji msaada kidogo juu ya hili maana naamini hii ni nyumba ya watu makini na naamini ntapata msaada kama nnavyotegemea.
Mimi ni kijana mchakalikaji tu hapa mjini sasa katika kuchanga kwangu nimefikisha milion 7 nataka kufanya biashara ila wazo lililonijia ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.