Kwa nchi kama Tanzania ambapo kuna kuogopana sana linapokuja suala la wahalifu kuwajibishwa hasa wahalifu hao wanapokuwa ni vigogo, tume zitaendelea kuwa kiini macho kwa walalahoi. Huwa nasikitika sana ninapoona aina hii ya usanii tunaofanyiwa kila siku kama watu tusio na uwezo wa kuchanganua...
Nafikiri kama kweli gharama za vocha zimepanda, kitu sahihi cha kufanya ni kubadilisha hizo gharama hata kwenye vocha zenyewe, tatizo la wafanyabiashara wa kibongo ni kupenda kukamua wenzao pale wanapopata kisingizio cha kufanya hivyo. Nakumbuka nyakati fulani huko nyuma tulitangaziwaga kwamba...
Heri yako wewe umemsahihisha yule aliyesema pale makanyagio alikuwepo mtu anaitwa Nelson, mi nakumbuka mtu aliyekuwepo pale alikuwa anaitwa Nelkon(japo) si jina lake halisi. Ila mimi nilikuwa Mkwawa 96-98 na enzi za Mgohamwende, sijui yuko wapi saa hizi huyo SERIOUS GUY!
Vipi wale jamaa zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.