Recent content by Monomer

  1. M

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu wa kike anataka nimuoe, je tutakua tumefanya maamuzi sahihi?

    Kwani ukiitwa hivyo Kuna sehemu yoyote ya mwili unameguka?Njoo pwani uone watu wanavyoishi pengine unaweza ukabadili msimamo wako na kuwaona wanawake nao pia wanahaki ya kuishi sio kidogo tu unampa kipondo hadi kumchinja kisa eti kakuita mkundu.Hilo neno huku Tanga ni kama salamu tu Na hiyo pia...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu wa kike anataka nimuoe, je tutakua tumefanya maamuzi sahihi?

    Mimi kwa nionavyo kwa upande mmoja ni sahihi kumuoa kwakua ndo mwanamke pekee umeweza kudumu nae kwenye urafiki kwa muda wote huo na hamjawahi kugombana hivyo DNA zenu za maisha zinaweza zikaendana. Mbili ni kua kila mmoja anajua madhaifu ya mwenzie hivyo itakua rahisi kuvumiliana pale...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Binti Ana Ujauzito wa Miezi 3, Sasa Wazazi Wake Wanataka Nikae Naye—Lakini Bado Sijajipanga

    We fala kweli yaani laki 6 ndo unasema bado hujajipanga wakati mimi mwaka 2021 nilimchukua Binti nikaishi nae baada ya kumpa ujauzito na kamshahara ka 170,000? Chukua uishi nae mlee hiyo mimba kwa upendo wote ili mtoto atakaezaliwa afaidi matunda ya kua na baba na mama.Sio makosa yake mtoto...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kutoa Ushahidi kumtetea Tundu Lissu Mahakamani leo Agosti 31, 2026. Kesi imeahirishwa hadi Kesho

    Umeanza kuharibu unaposifia Lozari aliyovaa mnyika.Huoni jappkua unatugawa wasomaji kwani sio Kila mtu humu ni mkatoliki au anavaa Lozari.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Utamu wa wakubwa!!

    Sio wadada tu hata mwanaume Mimi kifo cha mende ndo style pendwa na nayo enjoy kuliko nyingine yoyote.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Waliomalima VETA basic driving wanacheleweshewa vyeti vyao.

    Lessen ya learner(ile unayokata mwanzo pale unapokua umeanza mafunzo kwa vitendo)
  7. M

    JamiiForums Tanzania Waliomalima VETA basic driving wanacheleweshewa vyeti vyao.

    Naombeni hii post mods mnisaidie kuiweka kwenye kero.Dira ya maendeleo 2025-2050 inasema elimu na ujuzi kwa maendeleo ya taifa na katika hilo waziri mkuu aliepita alishauri na kusistiza sana watu waende veta wakachukue juzi mbalimbali. Katika hao walioitikia huo ushauri Kuna wengine wamechukua...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kawaida: Kamati Kuu ilimuita Nchimbi lakini kwa sababu ya kiburi na kudharau chama aligoma kuja, tukamfukuza

    Mmmh hivi mnajua kua mwenyekiti wa sasa uvccm ana nguvu sana kuliko mtu yeyote ndani ya chama na serikali.Post zake nyingi za kukikingia kifua chama zimewaletea hasara viongozi baadhi akiwemo nchimbi,pole pole,gwajima n.k
  9. M

    JamiiForums Tanzania Lakini pamoja na hayo pale nchini Malawi kiongozi mkuu nae anashida haiwezekani

    Woga wa nini kwani wewe unawaogopa wamalawi?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Lakini pamoja na hayo pale nchini Malawi kiongozi mkuu nae anashida haiwezekani

    Yule rais wao Toka aapishwe kuongoza lile taifa la Malawi na kuendelea mpaka sasa anaenda kumaliza mwaka wa kwanza wa awamu ya pili madarakani. Kashafanya kazi na manaibu prezida watatu japokua pia yule mpya haijulikani kama atamaliza nae muhula. Kashafanya kazi na makatibu wakuu wa chama...
  11. M

    JamiiForums Tanzania VETA: Tunawasihi wateja wetu kuwa na uvumilifu na kuzingatia taratibu kuhusu vyeti na leseni za Udereva

    Katika hao wote(veta na polisi)nani ni kikwazo kikubwa ili changamoto ijulikane?mana haiwezekani mafunzo yanayotolewa Kwa wiki 5 cheti kutoka kinachukua almost miez 5 mpaka mwaka.Kama veta Tanga wahitimu toka wa mwezi 4 hawajapatiwa vyeti vyao sasa lengo la kuhamasiaha watu waende veta lilikua...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu akimuandaa John Mnyika kwa Ushahidi wa uhaini

    Kwa aina ya utetezi anaotoa na jinsi anavyojitetea mi naona ingetosha kuishia hapo hao wengine watakuja kuharibu wanaweza wakajikanganya.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini watu wengi wenye vigugumizi ni wanaume tu?

    Mmh so kweli
  14. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini watu wengi wenye vigugumizi ni wanaume tu?

    Sio mikoa mingapo bali nchi nzima iko hivyo labda kama unataka kuanzisha ligi nyingine
Back
Top Bottom