Recent content by Monomer

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania 18+ Video za ubwabwa hazina uhalisia wowote

    Mbona hilo umechelewa kulijua mkuu,huo ndo ukweli kwamba wakati mwingine hata nguo hawavui niliwahi ona behind the scene moja iv mwanamke alikua amekaa zake na nguo zake na mwanaume yuko pemben yake kama sentimita kadhaa ana igiza kama anapeleka moto toka siku hiyo mi najua kua niscam. Ila za...
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kweli mwanamke akipataa shoo mara kwa mara inamfanya awe kijana zaidi au hii pisi inanidanganya?

    Mmmh hao wamedanganyana na mashoga zake uko mashankupe basi nayeye kalibeba kama lilivo au anapenda kukaa kwenye vijiwe vya wanaume kalisikia uko nayeye kameza bila kutafakari
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kuezeka kwa Vigae kumepitwa na wakati?

    Kwani tofauti ya gharama kati ya kuezeka na vigae na aliezeka na bati ni nini na lifespan kati ya vigae na bati utofauti wake ukoje,uimara wa kigae compare na bati ukoje ukizingatia nyumba zetu mara mtu kapanda kugonga dish n.k ukoje?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kampuni za kubeti zinadhulumu wawekezaji?

    Hiyo post umeitoa kule mtandao wa X jamaa amelalamika et kashinda mil 57 amefutiwa acc sasa kwanini asiireport gaming board.Mi naamini kwamba ni fix huwezi kushinda kiasi hicho cha fedha kisha ukashindwa kujua wapi pa kureport tatizo
  5. M

    JamiiForums Tanzania Watu wa pwani na matusi ni mgonjwa wa macho na miwani.

    Mi nadhani ungekuja na utetezi tofauti na huu ungeeleweka kuliko huu utopolo uliouandka hapa
  6. M

    JamiiForums Tanzania Watu wa pwani na matusi ni mgonjwa wa macho na miwani.

    Mikoa ya pwani kwa 99% wazawa wake ni waislamu,wanapenda kujinasibu kwamba wamestarabika,wanajiona wao ni binadamu zaidi kuliko wengine,wanajifanya wanamjua mungu zaidi kuliko dini zingine(yaani mungu wao ni watofauti linapokuja swala la tofauti za kiiman lakn wanapokua wanataka uslimu...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Drafti: Ronaldo kaisha tangu arudi kutoka ughaibuni, kesho atacheza na Simba Dom kwa aibu atakayoipata hatokaa asahau

    Ally white wa wapi? Bingwa wa wilaya ya muheza au
  8. M

    JamiiForums Tanzania KERO Afisa Rasilimali Watu (HR) wa Ilala ana Huduma Mbovu kwa watumishi

    Tatizo la waafrika ndo hili mtu hayuko kazini kwa ajili ya maslahi ya watu bali yupo kazini kwa maslahi yake mwenyewe kisha mtu kama uyo akitumbuliwa atakavyo lalamika.
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamaa asomba kila kitu aluchomnunulia mpenzi wake ikiwa ni pamoja na mapazia baada ya binti huyo kusitisha mahusiano hayo ghafla

    Mwana kazingua sana kwani yeye kipindi anamkunja hakupata raha na kuona ufahari
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi miaka 30 pia ina apply kwa mwanafunzi wa VETA?

  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi miaka 30 pia ina apply kwa mwanafunzi wa VETA?

  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi miaka 30 pia ina apply kwa mwanafunzi wa VETA?

    Watalaam wa sheria nipeni muongozo Mi kuna mwanafunzi wa VETA hasa wale wanaovaa sare kabisa(long coarse)nimevutiwa nae nafkiria nianze mchakato wa kutupia ndoano. Sasa nataka kujua kama wale ni wanachuo hivyo huchukuliwa kama watu wazima tayari au ni wanafunzi kama wengine wa sekondary.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ingekuwa kina Kayoko na Arajiga ile isingekuwa penati; wana kanuni zao

    Lakini cha ajabu jinsi simba walivokua mambumbumbu wa mpira laiti kama ile penalt angepewa yanga saiv wangekua wanalalamika eti yanga anabebwa
Back
Top Bottom