Elimu,elimu,elimu yule mzee alikua mbele ya muda ni basi tu mifumo ya tz ilimkataa.Hakuna watu wenye akili finyu kama mashabiki wa simba arajiga unamulaumje wakati match zote 3 zilizo kua na marefa toka nje hujashinda hata moja ndani ya dak 90,ni kwa namna gan unaweza kutuaminisha kwamba pumba...
Mmmh vitu vingine jamani Sasa huyu si angeuliza tu apatiwe elimu kwani yeye Hela zake alikoziweka huko anaona ndo ziko salama wakati serikali ikiamua kufanya umafia anaweza akalala masikini TU kama wengine
Waislamu katika suala la kuoana wametupiga chenga kubwa sana sisi wakristo,huyu angekua muislam aidha angekua kashaolewa au basi ana mtoto mwenye baba anaejulikana lakini kwakua sisi wakristo tumekosa mwongozo sahihi wa masuala hayo basi watoto wetu wamekua too selective,huyu anapanga vigezo...
Waislamu katika suala la kuoana wametupiga chenga kubwa sana sisi wakristo,huyu angekua muislam aidha angekua kashaolewa au basi ana mtoto mwenye baba anaejulikana lakini kwakua sisi wakristo tumekosa mwongozo sahihi wa masuala hayo basi watoto wetu wamekua too selective,huyu anapanga vigezo...
Hivi mwendokasi wa ndege ikiwa angani ni km ngapi kwa saa? mbona kama inatembea taratibu sana kulinganisha na gari ni vile TU kwamba Haina sehemu rubani atashika breki kama gari,hakuna sehemu rubani atasimamishwa na traffic,
Hakuna sehemu rubani atasimamisha watu wachimbe dawa na kupata...
Chunguza kwanza kimya kimya kama Hana mchepuko au rafiki yeyote wa kiume.Pia uzazi wa mpango kwa njia ya kijiti hua unasababisha mabadiliko ya homoni kwahivyo pengine ni uzazi wa mpango unachangia,vyakula pia mnavyokula vinachangia kama uwezo unaruhusu jaribu kumbadilishia mlo,vijizawadi vidogo...
Pia humu kuna mwingine hajui kama mimi lakini kujifanya anajua kucoment utakuta amecoment ata kisichohusiana na mada husika wakati ajua kabisa hili ni jukwaa la mapenzi sababu kila mada ina jukwaa lake na ndo maana mods kwa kuligundua hilo wakaweka majukwaa tofauti tofauti
Wakuu nikidinyama ile staili pendwa na ambayo imeruhusiwa kisheria,kiimani ambayo ni kifo cha mende basi hua nakuta shuka limelowa pale chini aliko lalia.
Hivi kulowana kule kunaweza kua kunachangiwa na nini?Je ni kojo lake mwanamke mara baada ya kufika kileleni au ni maji maji yanayotoka ukeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.