Mkuu Hilo la kuvuna wanachama wapya lingewezekana vizuri kama mzani wa siasa ungekua uko sawa tofauti na sasa ambapo wanachama wanakamatwa ovyo na kubambikiwa kesi za uhaini,uchochezi na kutekwa,hivyo vyote vina changia kuwatisha vijana kujihusisha na chadema na vyama pinzani kwa ujumla.Hivyo ni...
Pia ufatiliaji uongezeke mana hapo ndiko wakuu wa shule na wale watakaopewa kusimamia hiyo moradi watakapopatia nafuu,nikweli shule kongwe nchini majengo yake mengi yamechoka ambapo ni nyumba za waalimu, madarasa na vyoo Kuna vyoo vingine vilishaota Hadi vichuguu, nyumba zingine hasa zile...
Kwani mpoki nje ya vichekesho vyake hawezi kua na point zingine za maana za kuzungumza au umejaji kitabu kwa nje tu mkuu bila kujua yaliyomo?unamkosea heshima mpoki mzee.Serikali inaongelea watu kujiajili hivyo ni muhimu kuwasikiliza watu kama hawa pia ambao wamemake things happen kwa mtaa bila...
Tatizo ni pale kundi flani lilipofanikiwa kuaminisha nchi kwamba magufuli alikua mbaya hivyo na kila kitu kilichoanzishwa chini yake kilikua kibaya hadi wengine ambao walikua wanamuunga mkono ikabidi waogope pia kumtetea.
Huyo atakau kachukua akiba yote aliyokua nayo kabetia akitegemea atakula Kwa kua wameshauriana na wazembe wenzie eti anabet sure game.Nani kasema kwenye betting Kuna sure game? Makampuni yenyewe ya kubet yanakwambia beti kiasi ambacho unaweza kupoteza(bet kiasi ambacho hata mkeka ukichanika...
Mliojipata mnadharau,hivi unajua mshahara wa sekta binafsi kwa kazi ambazo hazihitaji profession kubwa ni kiasi gani?Anza Leo kufanya sensa ya kazi zote zinazopatikana katika jamii ujue watu wanalipwaje.Unajua cashier wa kwenye shell analipwaje,unajua muuza pharmacy analipwaje,unajua nesi kwenye...
Nikweli mkuu jamiiforums ya Sasa masihara mengi kuliko point za maana imekua kama Facebook Sasa,pia x.com nayo siku hizi ndo hivo hivo zote sijui zimevamiwa na watoto wa 2000
Kwani gharana hua zinapandishwa na vipimo au tiba unayopatiwa? Na kwanini serikali imeweka hela nyingi hivo wakati kifaa kimenunuliwa Kwa Kodi za wananchi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.