Mbona hilo umechelewa kulijua mkuu,huo ndo ukweli kwamba wakati mwingine hata nguo hawavui niliwahi ona behind the scene moja iv mwanamke alikua amekaa zake na nguo zake na mwanaume yuko pemben yake kama sentimita kadhaa ana igiza kama anapeleka moto toka siku hiyo mi najua kua niscam.
Ila za...
Mmmh hao wamedanganyana na mashoga zake uko mashankupe basi nayeye kalibeba kama lilivo au anapenda kukaa kwenye vijiwe vya wanaume kalisikia uko nayeye kameza bila kutafakari
Kwani tofauti ya gharama kati ya kuezeka na vigae na aliezeka na bati ni nini na lifespan kati ya vigae na bati utofauti wake ukoje,uimara wa kigae compare na bati ukoje ukizingatia nyumba zetu mara mtu kapanda kugonga dish n.k ukoje?
Hiyo post umeitoa kule mtandao wa X jamaa amelalamika et kashinda mil 57 amefutiwa acc sasa kwanini asiireport gaming board.Mi naamini kwamba ni fix huwezi kushinda kiasi hicho cha fedha kisha ukashindwa kujua wapi pa kureport tatizo
Mikoa ya pwani kwa 99% wazawa wake ni waislamu,wanapenda kujinasibu kwamba wamestarabika,wanajiona wao ni binadamu zaidi kuliko wengine,wanajifanya wanamjua mungu zaidi kuliko dini zingine(yaani mungu wao ni watofauti linapokuja swala la tofauti za kiiman lakn wanapokua wanataka uslimu...
Tatizo la waafrika ndo hili mtu hayuko kazini kwa ajili ya maslahi ya watu bali yupo kazini kwa maslahi yake mwenyewe kisha mtu kama uyo akitumbuliwa atakavyo lalamika.
Watalaam wa sheria nipeni muongozo
Mi kuna mwanafunzi wa VETA hasa wale wanaovaa sare kabisa(long coarse)nimevutiwa nae nafkiria nianze mchakato wa kutupia ndoano.
Sasa nataka kujua kama wale ni wanachuo hivyo huchukuliwa kama watu wazima tayari au ni wanafunzi kama wengine wa sekondary.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.