Recent content by Monomer

  1. M

    PostGE2025 John Heche: Tupo tayari kumpokea Halima Mdee CHADEMA

    Mkuu Hilo la kuvuna wanachama wapya lingewezekana vizuri kama mzani wa siasa ungekua uko sawa tofauti na sasa ambapo wanachama wanakamatwa ovyo na kubambikiwa kesi za uhaini,uchochezi na kutekwa,hivyo vyote vina changia kuwatisha vijana kujihusisha na chadema na vyama pinzani kwa ujumla.Hivyo ni...
  2. M

    Pambana sana ujenge kabla hujaanza kusomesha

    Kwani kusomesha wakuu ni lazima mtoto apelekwe na mabasi ya njano?
  3. M

    Prof. Shemdoe: Serikali inaandaa Mradi wa kukarabati Shule zote kongwe Nchini

    Pia ufatiliaji uongezeke mana hapo ndiko wakuu wa shule na wale watakaopewa kusimamia hiyo moradi watakapopatia nafuu,nikweli shule kongwe nchini majengo yake mengi yamechoka ambapo ni nyumba za waalimu, madarasa na vyoo Kuna vyoo vingine vilishaota Hadi vichuguu, nyumba zingine hasa zile...
  4. M

    Dagaa wanaochakatwa kwa kuchemshwa, virutubishi vingi vinapotelea kwenye maji

    Siku huzi jamiiforums imekua ya kiwaki sana nyuzi kama hizi hupati wachangiaji lakini nyuzi za mapenzi watu wanajaa
  5. M

    Kwa masharti na stress hizi utazopitia, Utajiri wa ndagu ni heri kuwa masikini tu

    Huyu ni mmoja wao anaemiliki pesa za hivo au ni mtoto wa tajiri mwenye pesa za hivo ye anatumbua tu kwahiyo hajui magumu babaake anayopitia
  6. M

    Uongozi wa Shule ya Pugu mmefeli sana kumuweka Mpoki kuwa mgeni rasmi wa mahafali yenu

    Kwani mpoki nje ya vichekesho vyake hawezi kua na point zingine za maana za kuzungumza au umejaji kitabu kwa nje tu mkuu bila kujua yaliyomo?unamkosea heshima mpoki mzee.Serikali inaongelea watu kujiajili hivyo ni muhimu kuwasikiliza watu kama hawa pia ambao wamemake things happen kwa mtaa bila...
  7. M

    Baada ya kuajiriwa kwa muda mrefu nimeamua kuanza upya kwa mtindo huu

    Lakin mbona kama mkopo wote ndo ushaumaliza kwenye kununua shamba vipi running cost zingine utaendesha na nini
  8. M

    Mwigulu Lameck Nchemba ukiwa waziri wa fedha tulikuonya kuhusu mfuko wa Road fund aya Sasa barabara 85% ni mashimo na TANROADS iko hoi

    Tatizo ni pale kundi flani lilipofanikiwa kuaminisha nchi kwamba magufuli alikua mbaya hivyo na kila kitu kilichoanzishwa chini yake kilikua kibaya hadi wengine ambao walikua wanamuunga mkono ikabidi waogope pia kumtetea.
  9. M

    Mkazi wa Kijiji cha Lyamrakana wilayani moshi vijijini, ajiua Kisa kubashiri (Betting)

    Huyo atakau kachukua akiba yote aliyokua nayo kabetia akitegemea atakula Kwa kua wameshauriana na wazembe wenzie eti anabet sure game.Nani kasema kwenye betting Kuna sure game? Makampuni yenyewe ya kubet yanakwambia beti kiasi ambacho unaweza kupoteza(bet kiasi ambacho hata mkeka ukichanika...
  10. M

    Mshahara laki mbili mkoani, au nijilipue Dar?

    Mliojipata mnadharau,hivi unajua mshahara wa sekta binafsi kwa kazi ambazo hazihitaji profession kubwa ni kiasi gani?Anza Leo kufanya sensa ya kazi zote zinazopatikana katika jamii ujue watu wanalipwaje.Unajua cashier wa kwenye shell analipwaje,unajua muuza pharmacy analipwaje,unajua nesi kwenye...
  11. M

    Inside Uganda’s New Building Law and What It Means for You

    At least Uganda wao wameliona hilo tofauti na huku popo chama tawala sijui hata kina waza vitu Gani?
  12. M

    Eti ni kweli ni rahisi kupata mume ila ni ngumu kupata mke?

    Mke anatoka Kwa bwana Sina Imani kama imeongelewa pia kwa mwanaume
  13. M

    Nahitaji kufanya check up ya mwili mzima nijue magonjwa niliyonayo

    Nikweli mkuu jamiiforums ya Sasa masihara mengi kuliko point za maana imekua kama Facebook Sasa,pia x.com nayo siku hizi ndo hivo hivo zote sijui zimevamiwa na watoto wa 2000
  14. M

    Nahitaji kufanya check up ya mwili mzima nijue magonjwa niliyonayo

    Kwani gharana hua zinapandishwa na vipimo au tiba unayopatiwa? Na kwanini serikali imeweka hela nyingi hivo wakati kifaa kimenunuliwa Kwa Kodi za wananchi?
Back
Top Bottom