Recent content by Monomer

  1. M

    JamiiForums Tanzania Simba mnaweza kusajili vizuri, mkaweka motisha kwa wachezaji lakini mkikubali ARAGIJA akacheza mechi zenu msahau Ubingwa

    Elimu,elimu,elimu yule mzee alikua mbele ya muda ni basi tu mifumo ya tz ilimkataa.Hakuna watu wenye akili finyu kama mashabiki wa simba arajiga unamulaumje wakati match zote 3 zilizo kua na marefa toka nje hujashinda hata moja ndani ya dak 90,ni kwa namna gan unaweza kutuaminisha kwamba pumba...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nilimuambia; achague kumrudia mke wake au tumfungulie kesi ya Ubakaji. Ukatili kama huu haukubaliki

    Ndoa za sasa nyingi za wakristo hua zina mshikeri sana kuliko wenzetu waislamu tatizo liko wapi?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nyumba za Polisi zateketea kwa moto Tanga

    Au~~~ ~~~ili wajengewe mpya
  4. M

    JamiiForums Tanzania KERO Wafanyakazi Kiwanda cha Saruji cha Maweni Limestone Limited - Tanga tunaishi kwa uchungu mkubwa, hatuna mikataba, bima wala likizo

    Wenzenu wa podoa vipi mmejalibu kuwauliza upande wao mbona wanakatwa nssf na kuekewa kabsa
  5. M

    JamiiForums Tanzania Dk. Ayub Rioba: Chombo cha habari kama TBC kinatakiwa kisimamie maslahi ya nchi

    Ni yeye mwenyewe kweli au ni AI
  6. M

    JamiiForums Tanzania Unadhani kwanini Tanzania hii, safu ya matajiri imetawaliwa na waajemi?

    Sasa toka lini umeona MO au bakhresa anafanya Yale aliyoyafanya GSM wa katoro?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Haya mahisa na maUTT yenu Kuna vilio vinakuja, watu hawataamini

    Mmmh vitu vingine jamani Sasa huyu si angeuliza tu apatiwe elimu kwani yeye Hela zake alikoziweka huko anaona ndo ziko salama wakati serikali ikiamua kufanya umafia anaweza akalala masikini TU kama wengine
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ndege ikiwa inapita angani mbona kama inatembea taratibu?

    Kama una fact nyingine unayoijua wasilisha hapa tupate elimu ndio lengo la Uzi huu nanjukwaa hili kujifanya unajua wakati hujui hakukufanyi ujue
  9. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mume umri kuanzia miaka 34 hadi 45 ili tumalizie pamoja maisha yetu yaliyobaki hapa duniani

    Waislamu katika suala la kuoana wametupiga chenga kubwa sana sisi wakristo,huyu angekua muislam aidha angekua kashaolewa au basi ana mtoto mwenye baba anaejulikana lakini kwakua sisi wakristo tumekosa mwongozo sahihi wa masuala hayo basi watoto wetu wamekua too selective,huyu anapanga vigezo...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta mume umri kuanzia miaka 34 hadi 45 ili tumalizie pamoja maisha yetu yaliyobaki hapa duniani

    Waislamu katika suala la kuoana wametupiga chenga kubwa sana sisi wakristo,huyu angekua muislam aidha angekua kashaolewa au basi ana mtoto mwenye baba anaejulikana lakini kwakua sisi wakristo tumekosa mwongozo sahihi wa masuala hayo basi watoto wetu wamekua too selective,huyu anapanga vigezo...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ndege ikiwa inapita angani mbona kama inatembea taratibu?

    Hivi mwendokasi wa ndege ikiwa angani ni km ngapi kwa saa? mbona kama inatembea taratibu sana kulinganisha na gari ni vile TU kwamba Haina sehemu rubani atashika breki kama gari,hakuna sehemu rubani atasimamishwa na traffic, Hakuna sehemu rubani atasimamisha watu wachimbe dawa na kupata...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hana hamu ya kufanya mapenzi na mimi. Nifanyeje?

    Chunguza kwanza kimya kimya kama Hana mchepuko au rafiki yeyote wa kiume.Pia uzazi wa mpango kwa njia ya kijiti hua unasababisha mabadiliko ya homoni kwahivyo pengine ni uzazi wa mpango unachangia,vyakula pia mnavyokula vinachangia kama uwezo unaruhusu jaribu kumbadilishia mlo,vijizawadi vidogo...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa mi bado mshamba kuhusu kojo la mwanamke

    Pia humu kuna mwingine hajui kama mimi lakini kujifanya anajua kucoment utakuta amecoment ata kisichohusiana na mada husika wakati ajua kabisa hili ni jukwaa la mapenzi sababu kila mada ina jukwaa lake na ndo maana mods kwa kuligundua hilo wakaweka majukwaa tofauti tofauti
  14. M

    JamiiForums Tanzania Mpaka sasa mi bado mshamba kuhusu kojo la mwanamke

    Wakuu nikidinyama ile staili pendwa na ambayo imeruhusiwa kisheria,kiimani ambayo ni kifo cha mende basi hua nakuta shuka limelowa pale chini aliko lalia. Hivi kulowana kule kunaweza kua kunachangiwa na nini?Je ni kojo lake mwanamke mara baada ya kufika kileleni au ni maji maji yanayotoka ukeni...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Timu nne bora duniani zatinga nusu fainali ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza

    Mmh hapo uingereza yeye ajiandae kupambania nafasi ya mshindi wa 3
Back
Top Bottom