Kwani ukiitwa hivyo Kuna sehemu yoyote ya mwili unameguka?Njoo pwani uone watu wanavyoishi pengine unaweza ukabadili msimamo wako na kuwaona wanawake nao pia wanahaki ya kuishi sio kidogo tu unampa kipondo hadi kumchinja kisa eti kakuita mkundu.Hilo neno huku Tanga ni kama salamu tu
Na hiyo pia...
Mimi kwa nionavyo kwa upande mmoja ni sahihi kumuoa kwakua ndo mwanamke pekee umeweza kudumu nae kwenye urafiki kwa muda wote huo na hamjawahi kugombana hivyo DNA zenu za maisha zinaweza zikaendana.
Mbili ni kua kila mmoja anajua madhaifu ya mwenzie hivyo itakua rahisi kuvumiliana pale...
We fala kweli yaani laki 6 ndo unasema bado hujajipanga wakati mimi mwaka 2021 nilimchukua Binti nikaishi nae baada ya kumpa ujauzito na kamshahara ka 170,000?
Chukua uishi nae mlee hiyo mimba kwa upendo wote ili mtoto atakaezaliwa afaidi matunda ya kua na baba na mama.Sio makosa yake mtoto...
Naombeni hii post mods mnisaidie kuiweka kwenye kero.Dira ya maendeleo 2025-2050 inasema elimu na ujuzi kwa maendeleo ya taifa na katika hilo waziri mkuu aliepita alishauri na kusistiza sana watu waende veta wakachukue juzi mbalimbali.
Katika hao walioitikia huo ushauri Kuna wengine wamechukua...
Mmmh hivi mnajua kua mwenyekiti wa sasa uvccm ana nguvu sana kuliko mtu yeyote ndani ya chama na serikali.Post zake nyingi za kukikingia kifua chama zimewaletea hasara viongozi baadhi akiwemo nchimbi,pole pole,gwajima n.k
Yule rais wao Toka aapishwe kuongoza lile taifa la Malawi na kuendelea mpaka sasa anaenda kumaliza mwaka wa kwanza wa awamu ya pili madarakani.
Kashafanya kazi na manaibu prezida watatu japokua pia yule mpya haijulikani kama atamaliza nae muhula.
Kashafanya kazi na makatibu wakuu wa chama...
Katika hao wote(veta na polisi)nani ni kikwazo kikubwa ili changamoto ijulikane?mana haiwezekani mafunzo yanayotolewa Kwa wiki 5 cheti kutoka kinachukua almost miez 5 mpaka mwaka.Kama veta Tanga wahitimu toka wa mwezi 4 hawajapatiwa vyeti vyao sasa lengo la kuhamasiaha watu waende veta lilikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.