Huduma zenu ni hafifu, hamuwajali wateja wenu!! Wateja ni wengi wahudumu wachache na wengi wao hawajitumi wanafanya kazi kusubiri muda tu, jaribuni kuwaelimisha kuwa wateja wanapokuja bank huwa wanaacha shughuli nyingine Ili wajali muda WA wateja
Makolokolo!! Na siye tumehamia cdm KWA ajili ya lowasa! Kwakuwa lowasa ana kipaumbele cha elimu basi mkipata elimu mtajijua na mtaelewa kwanini tunadai mabadiliko!
Kama mmewaazima hao, waazimeni na kura ili wapate ushindi kwani shida iko wapi wakishinda ccm B!? Jamani mpeni Edo ushindi tuone mabadiliko!! KWA. Zaidi ya miaka 50 tumedanganywa kwani miaka 5 in mingi!? Edo get prepared the house is waiting for you!? Serious!!!
Asipoingia mwaka huu na uchaguzi Tanzania utakuwa hauna maana!! Kwani watu wote wanajua lowasa ndiye rais hata magufuli anajua!! Lakini tarehe na ifike tuwathibitishie!! Ccm wenzangu tushikamane KWA ukweli kuwa magufuli peke yake hawezi kuibadili system iliyozoeleka ndani ya ccm , wala huyo...
Kawaambia ukweli hajawatukana! Hakuma chama cha mkoa labda chama cha ushirika ila sio chama cha siasa! Acheni upptoshaji! Keep it on Kafulila educate them!
Hayo ni yako, ukawa hatudanganyiki!! Mwendo ni ulele mpaka kieleweke wasiotaka mabadiliko wameridhika na hali walizonazo na wapo wachache sana!!! Majibu Oct 25 :2015
Mkapa ndo anafiri kuwa kura zinapatikana KWA matusi kejeli na vitisho!! Hakuna nchi isiyotambua mchango WA ccm ya mwlimu ktk ukombozi WA afrika na uonevu WA ccm baada ya mwalimu, KWA kura zetu tutamwonesha ulofa wetu, lnshaallah mwenyeenzi Mungu atakuwa upande WA "malofa"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.