Makubwa
Naomba niishie hapo nishaona na wake zangu kwahiyo huu mjadala ushaubadilisha maana umeupeleka kwenye mrengo wa kidini zaidi.
Ila ngoja nikuulize kwani wanawake wakifanya kazi ofisini kuna shida gani eti?
Ila uliuliza maswali vizuri sana bas anzisha mjadala mwingine wa kidini zaidi.
Ngoja nijibu hoja zako sasa maana maoni yangu ya awali yalitokana na baadhi ya maoni ya wachangiaji.
Maana halisi ya kumkomboa mwanamke ni kumtoa kwenye mila na desturi zinazomkandamiza, zinazomnyima haki yake ya msingi kama binadamu. mfano haki ya kupata elimu, kumiliki mali,kupiga...
sijataka kusoma comment za wengine ngoja na mimi niweke mawazo yangu.
juzi nimesoma article BBC inazungumzia jinsi watoto wa kike wanavyoozeshwa kipindi hiki cha COVID kwa sababu hawaendi shule, na imeonekana barani Africa wasichana wengi wanaozeshwa sana kipindi hiki. Mind you hao ni watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.