Mimi Binafsi am dating a married man ananipenda sanaa me mwenyewe hadi naogopa ashaniambia nikimuacha atani🔫🔫🔫 ingekuwa ni kunitamani angeshaniacha ni zaidi ya miaka miwili sasa. So inatokea kumpenda mtu nje ya ndoa na inategemea pia mahusiano yenu ndani.
Msininange basi...
Kwa mfano Traffic akinikamata akaniomba Leseni na sina kwa muda huo najua unaweza kuipeleka within 24hrs. Je sheria inasema uache gari mpaka utapopeleka Leseni?
Hata mimi siwezi kuvumilia aisee miaka minne haujatangaza hata kuoa unakula tu bure mtoto wa watu 😂😂😂😂😂 Let her free
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.