Recent content by MOMPRENEUR

  1. MOMPRENEUR

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo ruvuma nije kanda ya ziwa....elimu sekondari...masomo kemia na bios
  2. MOMPRENEUR

    Dawa ya kuzuia Mahindi yasioze!

    Ukienda duka la pembejeo ukiwauliza tu unavipata....viko poa
  3. MOMPRENEUR

    Shida katika Email

    Nimefanya hivi lakini bado shida iko vile vile
  4. MOMPRENEUR

    Shida katika Email

    Habari wakuu! Email yangu imekuwa haifunguki inaishia kuload tu sijajua shida nin na naimaliza vipi. Msaada
  5. MOMPRENEUR

    Flash kusoma kwenye simu

    Unaiformat vipi mkuu??
  6. MOMPRENEUR

    Flash kusoma kwenye simu

    Habari wakuu!!Nina flash ile yenye pande mbili yaani unaweza weka katika simu au hata pc...sasa nikiichomeka katika pc inasoma vizuri ila katika simu haisomi...msaada wa hili plz
  7. MOMPRENEUR

    Kwa mahitaji ya perfume zenye harufu nzuri sana tuwasiliane

    Sana...karibu mkuu tuwasiliane no.0627169773
  8. MOMPRENEUR

    Kwa mahitaji ya perfume zenye harufu nzuri sana tuwasiliane

    Kwa mahitaji ya perfume hizi zenye harufu nzuri sana tuwasiliane no. 0653405342....Bei nauza tsh.7500 Kuna Maryam perfume, salaam perfume, Al rehan perfume, Dirham perfume n.k Napatikana mbande Dar
  9. MOMPRENEUR

    Msaada wa Aliexpress

    Ipi ina unafuu wa gharama za kusafirisha?
Back
Top Bottom