Nafananisha na kisa cha Makonda aka BASHITE kuvamia Clouds TV siku iliofuta mkuu wa Nchi akamwambia piga kazi na Mo alioooatikana nae mkuu wa kanda maalumu akamwambia piga kazi hapa kuna usanii ulifanyika waliomteka wanajulikana na serikali inawajua na nimipango ilifanywa na wakubwa. Kama kweli...
Dill done apige makelele ya nini nae ashachukua 1b yake halafu mkuu wa jeshi sirro anajidhalilisha maelezo ya awali alisema wazungu sasa wamekuwa wanaongea kilugha inamaana mo hakuwaona hata mara moja waliomteka hapa Kuna kitu kinafichwa washampiga pesa muhindi wa watu na kwanini familia...
Maana hili dili inaoneka kama BASHITE anafidia pesa alizopoteza kwenye mankotena yake kwani ingekuwa wakati wa mwalimu kiongozi kukutwa na container 20 halafu serikali imekaa kimya naona hata bwana mkubwa anajua haya mambo walimchukua ili wapate hizo pesa pia inaonekana familia yake wametoa hizo...
Kaka yao mkubwa anaitwa hadari yupo dodoma pale airport karibu na msikiti WA Gaddafi yeye ndio supplier mkubwa pia Gari za nyingi za wizi zipo dodoma eneo LA Ilazo kwenye nyumba yao ukifika Utajua ni nyumba ya watu WA ngada mageti mawilimawili
Wapo wengi dodoma na mtandao wao upo airport dodoma na uhindini Wapo ndugu wawili Musa na Hamza ati Hamza anauza viungo vya pilau ananyumba karibu 10 dodoma kazi wanayo mwaka huu hawa wanauhusiano WA karibu na kina hariri
Kusuasuakwa Rais John Magufuli, kutangaza Baraza la Mawaziri kunatokana na msimamo wake wa kuwachambua watu anaotarajia kuteua katika nafasi hiyo huku akiaandaa mikataba ya makubaliano itakayokuwa mwongozo kwa mawaziri hao.Nia ya Rais, hadi kufikia hatua hiyo imetafsiriwa kwamba anataka kupata...
Wakati chama tawala kesho kikifanya uchaguzi wa kuwachagua wawakilishi wao kesho ndio mwanzo wa mgawanyiko mkubwa utakapotokea ndani ya chama tawala kwa wale watakaoshindwa kwa hila, pia kuna mpango kabambe umewekwa kuhakikisha wale wote waliokuwa nyuma ya aliyekuwa kada wa chama cha mapinduzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.