Nafikiri pia mchanganuo wako hauko sawa kwanini uwauze at 8 weeks? sijafanikiwakufuga wengi hivyo ila nami nawafuga. 400 wanakula mifuko 24 mpaka nimalize kuuza. Bei ya kununua ni 400*1400 = 560,000 chakula 24*50,000= 1,200,000. matumizi mengine maji umeme kijana dawa( glucose+ booster) total...