Recent content by Molamola

  1. Molamola

    Kuna mama ananitaka kwa udi na uvumba nifanyeje?

    Wewe ungekuwa umempa scholarship kabinti si ungekitafuna?
  2. Molamola

    Kati ya ndoa na ujenzi nianze na kipi?

    Kama unaweza kuipa ujauzito nyumba basi anza nayo
  3. Molamola

    Ushauri: Nifanyaje mshahara wangu ukutane na wa mwezi mwingine?

    Usiitumie itakutana tu..mimi huwanafanya hvo..
  4. Molamola

    Nataka kurisiti (PCM)naomba ushauri

    Ras simba kaanza fundisha physics anza nae huyo
  5. Molamola

    Tazama, simba akikutokea ghafla porini kaa kama ulivyo na umtazame machoni!

    Simba wengi nasikia wametumbuliwa tangu bia iingie jumba jeupe
  6. Molamola

    Msaada: Mabasi na nyumba nzuri ya kushukia Mpwapwa Dodoma

    Pia kuna lodge nimekuta kama mpya inaonekana ilikuwa imefanyiwa maboresho ila ilikuwa imejaa foreigners juzi.inaitwa ARK nilichukua no zao ni 0784914072..iko poa naona wana facilities kibao room 30 na 35
Back
Top Bottom