Recent content by moiwakitaa255

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Wangu kabsa tupo na watoto pacha mkuu yan ndio ivyo kiukweli sishiriki nae tendo wala sina story nae tena kma zaman
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Mimi nimemsamehe lakin kila kitu kimebadilika kwangu siko tena kma wa zaman nipo nipo tu namwangalia tu aikitoka siuliz akirudi siuliz Akila siuliz akilala njaa siuliz akiumwa siuliz yan kila kitu nimebadilika anabaki anielewi Na nilimsamehe kwa kuwa mimi mwenyewe ni mshenzi so safi tu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nimefika mwisho wa kufikiri.... Nifanyeje? Naomba msaada wako

    Inawezekan mkuu mimi nilianza nikiwa bado sijazaliwa kabsa
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa JF unapatikana bila VPN?

    Mbona mi naingia bila VPN
  5. M

    JamiiForums Tanzania Visa vya matapeli na watoto wa mjini

    Dah nirudishiee nauli yangu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mbegu za habbat soda au black seeds dawa ya haraka ya acid reflux

    Za kuhalisha zinaitwa HABAT MULK
  7. M

    JamiiForums Tanzania KERO Abiria Mabasi ya Ifakara–Morogoro tunafanyiwa 'Mchezo Mchafu' wa kukatishwa Tiketi na kubadilishiwa Magari baada ya kusubirishwa muda mrefu

    Njooo mafiga mkuu na ukija chunguza bas kabla ya kupanda utakuta bas linawatu ndani kma abiria kumbe sio abiria!! wale wanaitwa BOSHEN [wengi wao ni wadada]
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna mtu anaongea neno kwa bahati mbaya

    Kaka sio tabia!! Yan mtu akikutamkia neno kwa hasira au kalewa au kwa furaha basi jua hilo neno limetoka kwenye moyo wake yan kwamna hilo neno analo kila siku
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi tunaendelea kunywa pombe licha ya kuona madhara yake kwa wengine?

    Hahahahaha kaka angu hata ladha pombe c ijui
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wengi tunaendelea kunywa pombe licha ya kuona madhara yake kwa wengine?

    UYO MTU ALIKUWA NA MATATIZO KABLA NDIO KAINGIA KWENYE POMBE KWAHIYO POMBE SIO TATIZO HAPO
  11. M

    JamiiForums Tanzania Vita ya wachawi na washirikina imenishinda uswahilini. Nahama nauza vitu vyangu vya ndani

    Yalinikuta kma hayo lakin mi nilikomaa nao mwanzo mwisho wakiloga ucku mi naloga mchana Mpka kikaeleweka nou tunaheshimiana kwa salam za kinafki kudadadeki Oya MA MTU KOMAA HAPO
  12. M

    JamiiForums Tanzania Majina ya kibantu yanayofurahisha

    Akaja Akatomba chikuma
Back
Top Bottom