Wanaogoma kuichangia pesa Chadema kwenye mikutano yake ya hadhara, wamechoka, hawana pesa au wamegundua wanatapeliwa?

Wanaogoma kuichangia pesa Chadema kwenye mikutano yake ya hadhara, wamechoka, hawana pesa au wamegundua wanatapeliwa?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
42,480
Reaction score
35,199
Ni nini kumetokea, hata wachangiaji kuacha kutoa pesa zao kuichangia chadema?

Je,
achangiaji wameshtukia wizi au utapeli wa pesa zao mchana kweupe? au kuna mapumziko ya kuomba kuchangiwa pesa?

Hata wafuata mkumbo viherehere humu jukwaani, hawaelezi tena ikiwa pesa zimechangwa wapi, na ni kisasi gani kimepatikana kama walivyokua wakitangaza awali, tena kwa mbwembwe kweli.

Ni nini mbaya imetokea aise?

Kama mdau wa siasa jukwaani, Unadhani ni kimewafanya wanachadema kusita kuchangia pesa kwaajili ya chama chao?🐒

Mungu Ibariki Tanzaniani
 
HKTJPosWMAA9514.jpeg
 
Nani kagoma?
wachangiaji pesa mama, wanaombwa na ombaomba wa wachadema daily.

hawachangii tena na wala hata viherehere wa humu jukwaani hawaelezi kilichochangwa kama awali.

huenda kuna kiongozi akionekana tu kwenye mikutano ya hadhara ya chadema, wachangiaji wanavunjika moyo, wanasita na kuacha kabisa kuchangia, coz wanajua kabisa kwa 100% , hata wakichangia wanapigwa tukio mchana kweupe!!🐒
 
wachangiaji pesa mama, wanaombwa na ombaomba wa wachadema daily.

hawachangii tena na wala hata viherehere wa humu jukwaani hawaelezi kilichochangwa kama awali.

huenda kuna kiongozi akionekana tu kwenye mikutano ya hadhara ya chadema, wachangiaji wanavunjika moyo, wanasita na kuacha kabisa kuchangia, coz wanajua kabisa kwa 100% , hata wakichangia wanapigwa tukio mchana kweupe!!🐒
Ila UVCCM ni wambea sana nyie
 
Viongozi hawawasomei Ng'ombe wao wachangiaji Mapato na Matumizi ndiomana Ng'ombe hao wamegoma kuchangia.
 
Ila UVCCM ni wambea sana nyie
ukweli hua unapewa majina mengi sana mama, lakini hamna namna lazima usemwe tu,

wamegoma kabisa kuichangia chadema kwenye vibakuli, sasa sijui itakuaje 🐒
 
Wameona CHADEMA inataka kuwafanya wafuasi wake chuma ulete na Manyumbu yasiyojitambua . Sasa wameamka na kuanza kuona ukweli baada ya kuona akina Bon yai wananenepa Mashavu na matumbo huku wao wakikondeana tu kama ndama aliyekosa maziwa
 
Kwani kale kajamaa chetu cha uenezi kanasemaje? Kameanza kumature?
 
Achana nao wewe subiri huko kwenu yasiokuhusu? malizia
 
Ni nini kumetokea, hata wachangiaji kuacha kutoa pesa zao kuichangia chadema?

Je,
achangiaji wameshtukia wizi au utapeli wa pesa zao mchana kweupe? au kuna mapumziko ya kuomba kuchangiwa pesa?

Hata wafuata mkumbo viherehere humu jukwaani, hawaelezi tena ikiwa pesa zimechangwa wapi, na ni kisasi gani kimepatikana kama walivyokua wakitangaza awali, tena kwa mbwembwe kweli.

Ni nini mbaya imetokea aise?

Kama mdau wa siasa jukwaani, Unadhani ni kimewafanya wanachadema kusita kuchangia pesa kwaajili ya chama chao?🐒

Mungu Ibariki Tanzaniani
Screenshot_20260514-220943~2.png
 
Wameona CHADEMA inataka kuwafanya wafuasi wake chuma ulete na Manyumbu yasiyojitambua . Sasa wameamka na kuanza kuona ukweli baada ya kuona akina Bon yai wananenepa Mashavu na matumbo huku wao wakikondeana tu kama ndama aliyekosa maziwa
Screenshot_20260523-112653~2.png
 
Kwani kale kajamaa chetu cha uenezi kanasemaje? Kameanza kumature?
ni pesa gentleman jamaa wamegoma kutapeliwa kabisa.

hebu gentleman inafaa kujiuliza,
ni nani pale kwenye uongozi wa Chadema taifa akionekana tu kwenye masuala ya pesa, wachangiaji wanavunjika moyo na kumute kuchangia kabisa?

unadhani kwanini?🐒
 
Back
Top Bottom