Recent content by moi wa kitaa

  1. moi wa kitaa

    Ila waislamu bhana

    BIBLIA GANI IMEANDIKWA YESU MAMA AKE ANAITWA MARIA! HALAFU YESU HAKUZALIWA KWENYE HOLY YA NG'OMBE NENDA KASOME HILO ANDIKO NA PIA TAFUTA TAFSIRI YA NENO HOLY NDIO UJE HAPA
  2. moi wa kitaa

    Kabla ya kuichangia CCM, Tafakari kwa Umakini, Maana inaweza kuwa laana yako

    Hawa watu c juzi hapa wamegawa baiskeli nchi nzima leo tena wanataka michango Hapo kuna kiini macho wanataka kutuzuga kma wanachangiwa kumbe hiyo pesa wamekwapua mahali
  3. moi wa kitaa

    KERO Madereva wa Bolt, Uber etc waache kulalamika na kususia wateja wenye BONUS

    Huyo dereva mimi! Hila abiria wengine shaba ukiomba nyota utasikia kwan lazima
  4. moi wa kitaa

    Ndugu wanasema Ndugai alikuwa mzima tu

    Kwahiyo unasema wanasema alikuwa mzima tu! Kwan waliokufa wanakufa tena!? Waambie ndugu wa ndugai kuwa WAZIMA NDIO WANAKUFA
  5. moi wa kitaa

    Dah! Wife umenivunja moyo aisee na siamin!!

    Pole mkuu hiyo ndoa ni yako mke wa kwako fanya maamuzi yako! JAPO NA MIMI NNAYANGU CJUI YANAISHAJE DAH
  6. moi wa kitaa

    Nilivyo ibiwa kimaajabu

    Somo kwetu
  7. moi wa kitaa

    Hii ni mazingaombwe,Maigizo Script au ni Halisia?

    Heee sineni nikamala mieeee
  8. moi wa kitaa

    Nimepiga punyeto asilimia 75 % ya umri wangu sasa namashaka na sperm zangu

    MKUU NYETO HAIWEZI FANYA USHINDWE KUTUNGISHA MIMBA HIYO SWALA LINGINE SWALA LA SHAHAWA ZAKO KUWA NYEPESI NA SIO NYINGI ZINGATIA MAZOEZI YA KAGEL NA TENGENEZA JUICE YA TENDE CHANGANYA KARANGA MBICHI NA MAZIWA FRESH
  9. moi wa kitaa

    Nataka nifunge camera chumbani kwa kijana wangu! Nina wasiwasi anafanya vitu visivyofaa

    Kma ni ivyo mkuu uwezi kumfanya haache hiyo tabia hapo dawa ni kumvizia cku ya jmoc asubuhi pola simu yake ikague uzuri ukikuta mambo ya porn bac ongea nae kiumee kabsa Maana akishaangalia porn na kujichua sasa ataingia kwenye madem hapo ndio shida kwa dunia yao mchane kiume sio ugomvi
  10. moi wa kitaa

    Nataka nifunge camera chumbani kwa kijana wangu! Nina wasiwasi anafanya vitu visivyofaa

    MI NAFIKILI UNGEELEZA HATA HILO BADILIKO MOJA ILI TUJUE ANAKOELEKEA NA KMA ANAJICHUKULIA SHERIA MKONONI SAWA MAANA NDIO UMRI UWO LAKIN KMA ANATABIA ZA KIKE WAKATI YE WAKIUME BAS JUHA USHOGA UNAMNYEMELEA HAPO
Back
Top Bottom