Recent content by Mohammed wa 5

  1. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Uzi kwa ajili ya waraibu wa kamari, mikeka na kubeti wanaohitaji kuacha na kuepukana na uraibu huu

    Kila mtu na starehe yake Mbona nyie mnapovaa kondomu huko hatusemi Kila kitu duniani ni uraibu ata kula sana ni uraibu.. Ushauri kabla ya kufanya kitu fikiria hasara zake na faida zake Beti kistarabu Betting sio kwa watu masikini Unacholiwa hakikisha ni faida sio mtaji
  2. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Vijana mkipata nafasi ya kuji attach kwenye royal family, Usirudi nyuma

    Sema nini wazee wanaume wengi wa kiafrika tuna mfumo dume kutokana na maisha yetu kwenye familia tulizotoka. Ila mleta mada yupo sahihi ukipata hizi familia zakishua usirud nyuma jump in haraka sana. Kuna mwanangu yupo saizi anazunguka nchi kibao wakatu tulikuwa level moja ila sahizi kanipita...
  3. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Unakuta mtu ana roho mbaya na tabia za hovyo afu anajifanya mtu dini

    Mtu wa dini anakuwaje? Kwenda kila siku kanisani na msikitini ndo unakuwa mtu wa dini
  4. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Ulifanya kosa gani shuleni ukawekwa mtu kati na Walimu?

    Nilikuwa 800k ya ada kipindi icho ada inapelekwa kwa muhasibu wa shule Nikapewa adhabu yakufukia mashino almost 2 month nilikuwa siingii darasani ni mwendo kazi tu napumzika wakati wa mapumziko tu na classmate wangu wanakuja kunipa support kidogo Nakumbuka kidemu changu cha shule cha shule...
  5. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Ayatollah is back!!!

    We ni nani kwanza
  6. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya 7/7: Nani anaenda kuandamana (?)

    mimi,wewe na yule
  7. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Hisia za jamii kuelekea 7/7: Je maandamano yapo au hayapo?

    Sisi watanganyika ni wanafiki sana
  8. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi naye hana huruma na uhai wa Watanzania

    Tanzania hakuna haki
  9. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwenyekiti UVCCM Dar: Maandamano yana misingi yake. Haya tunayoyaona yakipangwa mitandaoni hayana uhalisia wa madai ya msingi

    Ukiwepo CCM na akili yako inapotea automatic Baba na mama yangu wamemipigia kura samia nao pia hawana akili
  10. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Waliotangazwa washindi kwenye kilichoitwa uchunguzi mkuu wa 2025, naona ni watu wasio na furaha na wanajihisi kukosa political legitimacy

    Baba levo kiherehere wamuweka pale maksudi ili atumike kwenye mambo yao
  11. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania WATANZANIA TUPO PANDE MBILI USITUAMINI

    Habari zenu wana jf Baada ya mihangaiko ya wiki nzima nikaona nifuatilie speech zote za raisi na amiri jeshi mkuu tokea uapisho wake mpaka sasa ila nilichogundua sisi watanzania tupo huku na huku maana yake Mtanzania usimuamini leo unaweza kumkuta kwenye amani na kesho ukamkuta kwenye...
  12. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa matukio Dec 9

    acha kuleta betting kwenye vitu serious....umeshiba zako wanga uko unakuja kuandika utumbo hapa
Back
Top Bottom