Recent content by Mohammed wa 5

  1. Mohammed wa 5

    PostGE2025 Mwenyekiti UVCCM Dar: Maandamano yana misingi yake. Haya tunayoyaona yakipangwa mitandaoni hayana uhalisia wa madai ya msingi

    Ukiwepo CCM na akili yako inapotea automatic Baba na mama yangu wamemipigia kura samia nao pia hawana akili
  2. Mohammed wa 5

    WATANZANIA TUPO PANDE MBILI USITUAMINI

    Habari zenu wana jf Baada ya mihangaiko ya wiki nzima nikaona nifuatilie speech zote za raisi na amiri jeshi mkuu tokea uapisho wake mpaka sasa ila nilichogundua sisi watanzania tupo huku na huku maana yake Mtanzania usimuamini leo unaweza kumkuta kwenye amani na kesho ukamkuta kwenye...
  3. Mohammed wa 5

    Uchambuzi wa matukio Dec 9

    acha kuleta betting kwenye vitu serious....umeshiba zako wanga uko unakuja kuandika utumbo hapa
  4. Mohammed wa 5

    PostGE2025 Wengi waliopoteza maisha au kupata majeraha kwenye maandamano hawakuwa na tahadhari au walishindwa kuiona hatari mbele yao kwa kuchukulia poa

    😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
  5. Mohammed wa 5

    PostGE2025 Wengi waliopoteza maisha au kupata majeraha kwenye maandamano hawakuwa na tahadhari au walishindwa kuiona hatari mbele yao kwa kuchukulia poa

    Me sio mwalimu kama wewe nisubiri shule zifungwe ndo nisafiri...tupo level tofauti unaona kusafiri kama anasa kwako
  6. Mohammed wa 5

    PostGE2025 Wengi waliopoteza maisha au kupata majeraha kwenye maandamano hawakuwa na tahadhari au walishindwa kuiona hatari mbele yao kwa kuchukulia poa

    Bado nipo sana ingekuwa binadamu tunakufa kwa maneno nahisi saizi ningekuwa nasubiria ufufuo....tulizeni akiri mabadikiko tunayataka wote ila unataka mabadiliko kwa njia gani? Jiulize kikongwe mjane
Back
Top Bottom