Kila mtu na starehe yake
Mbona nyie mnapovaa kondomu huko hatusemi
Kila kitu duniani ni uraibu ata kula sana ni uraibu..
Ushauri kabla ya kufanya kitu fikiria hasara zake na faida zake
Beti kistarabu
Betting sio kwa watu masikini
Unacholiwa hakikisha ni faida sio mtaji
Sema nini wazee wanaume wengi wa kiafrika tuna mfumo dume kutokana na maisha yetu kwenye familia tulizotoka.
Ila mleta mada yupo sahihi ukipata hizi familia zakishua usirud nyuma jump in haraka sana.
Kuna mwanangu yupo saizi anazunguka nchi kibao wakatu tulikuwa level moja ila sahizi kanipita...
Nilikuwa 800k ya ada kipindi icho ada inapelekwa kwa muhasibu wa shule
Nikapewa adhabu yakufukia mashino almost 2 month nilikuwa siingii darasani ni mwendo kazi tu napumzika wakati wa mapumziko tu na classmate wangu wanakuja kunipa support kidogo
Nakumbuka kidemu changu cha shule cha shule...
Habari zenu wana jf
Baada ya mihangaiko ya wiki nzima nikaona nifuatilie speech zote za raisi na amiri jeshi mkuu tokea uapisho wake mpaka sasa ila nilichogundua sisi watanzania tupo huku na huku maana yake
Mtanzania usimuamini leo unaweza kumkuta kwenye amani na kesho ukamkuta kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.