Recent content by Mohammed wa 5

  1. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi naye hana huruma na uhai wa Watanzania

    Tanzania hakuna haki
  2. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwenyekiti UVCCM Dar: Maandamano yana misingi yake. Haya tunayoyaona yakipangwa mitandaoni hayana uhalisia wa madai ya msingi

    Ukiwepo CCM na akili yako inapotea automatic Baba na mama yangu wamemipigia kura samia nao pia hawana akili
  3. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Waliotangazwa washindi kwenye kilichoitwa uchunguzi mkuu wa 2025, naona ni watu wasio na furaha na wanajihisi kukosa political legitimacy

    Baba levo kiherehere wamuweka pale maksudi ili atumike kwenye mambo yao
  4. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania WATANZANIA TUPO PANDE MBILI USITUAMINI

    Habari zenu wana jf Baada ya mihangaiko ya wiki nzima nikaona nifuatilie speech zote za raisi na amiri jeshi mkuu tokea uapisho wake mpaka sasa ila nilichogundua sisi watanzania tupo huku na huku maana yake Mtanzania usimuamini leo unaweza kumkuta kwenye amani na kesho ukamkuta kwenye...
  5. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa matukio Dec 9

    acha kuleta betting kwenye vitu serious....umeshiba zako wanga uko unakuja kuandika utumbo hapa
  6. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wengi waliopoteza maisha au kupata majeraha kwenye maandamano hawakuwa na tahadhari au walishindwa kuiona hatari mbele yao kwa kuchukulia poa

    😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
  7. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wengi waliopoteza maisha au kupata majeraha kwenye maandamano hawakuwa na tahadhari au walishindwa kuiona hatari mbele yao kwa kuchukulia poa

    Me sio mwalimu kama wewe nisubiri shule zifungwe ndo nisafiri...tupo level tofauti unaona kusafiri kama anasa kwako
  8. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wengi waliopoteza maisha au kupata majeraha kwenye maandamano hawakuwa na tahadhari au walishindwa kuiona hatari mbele yao kwa kuchukulia poa

    Bado nipo sana ingekuwa binadamu tunakufa kwa maneno nahisi saizi ningekuwa nasubiria ufufuo....tulizeni akiri mabadikiko tunayataka wote ila unataka mabadiliko kwa njia gani? Jiulize kikongwe mjane
  9. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wengi waliopoteza maisha au kupata majeraha kwenye maandamano hawakuwa na tahadhari au walishindwa kuiona hatari mbele yao kwa kuchukulia poa

    Leo umekigawa kwa wangapi icho kijambio😁 au leo biashara ngumu ujapata mteja
Back
Top Bottom