Habari zenu wana jf
Baada ya mihangaiko ya wiki nzima nikaona nifuatilie speech zote za raisi na amiri jeshi mkuu tokea uapisho wake mpaka sasa ila nilichogundua sisi watanzania tupo huku na huku maana yake
Mtanzania usimuamini leo unaweza kumkuta kwenye amani na kesho ukamkuta kwenye...
Bado nipo sana ingekuwa binadamu tunakufa kwa maneno nahisi saizi ningekuwa nasubiria ufufuo....tulizeni akiri mabadikiko tunayataka wote ila unataka mabadiliko kwa njia gani? Jiulize kikongwe mjane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.