Recent content by Mohamedmteleke

  1. Mohamedmteleke

    JamiiForums Tanzania Hali mbaya ya mfumuko wa bei, watu watakufa njaa

    Mama amemwaga mihela....mabil kwa mabil ,yaan Ni mihela inemwagika....alisema mlevi mmoja ambae pombe tumemdhibiti
  2. Mohamedmteleke

    JamiiForums Tanzania Hali mbaya ya mfumuko wa bei, watu watakufa njaa

    Af pita kila sehem bendera znapepea. Mataa ya kuangaza barabaran usku yanagongwa na magar na kuanguka,fine znalipwa but zinaish, but no maintenance now mataa yamebaki ya kuhesabu tu
  3. Mohamedmteleke

    JamiiForums Tanzania Hali mbaya ya mfumuko wa bei, watu watakufa njaa

    Hapa iringa mjin , wapungufu wa akili na walemavu wameongezeka, pia shughuli ya kuokota makopo imekua kwa Kasi...Kuna baadh ya watu wanaokota makopo as a family work...yaan wanatawanyika watoto , wanaokota makopo af wanatia kwenye kiroba kimoja
  4. Mohamedmteleke

    JamiiForums Tanzania Hali mbaya ya mfumuko wa bei, watu watakufa njaa

    Hv unajua kuwa mahindi nayo bado yanaenda nje Tena mengi tu
  5. Mohamedmteleke

    JamiiForums Tanzania Hali mbaya ya mfumuko wa bei, watu watakufa njaa

    Na bado kunazid kupambazuka
  6. Mohamedmteleke

    JamiiForums Tanzania Hali mbaya ya mfumuko wa bei, watu watakufa njaa

    Bora jk hakukua na mfumuko wa Bei
  7. Mohamedmteleke

    JamiiForums Tanzania Hali mbaya ya mfumuko wa bei, watu watakufa njaa

    Sabuni miatisa
  8. Mohamedmteleke

    JamiiForums Tanzania Kwa hili la Mgunda na Kibu Denis, sote tukubaliane Bila masharti , Simba ni liduude likubwa Sana!

    Yaaah kwa huku kuhaha na makocha Simba Ni matter core
  9. Mohamedmteleke

    JamiiForums Tanzania TCRA yaipiga faini ya Tsh. Milioni 2 ZamaMpya TV (DarMpya), Maudhui ya Afande Sele kuhusu Tozo yatajwa

    Nchi ngumu Sana....any way afande sele anajiamin na nnakuamin...hv ilikuwaje akapigwa chini kisiasa ..any way labda wapiogopa bange
  10. Mohamedmteleke

    JamiiForums Tanzania Hali ngumu Sana kwa wabunge wa CCM majimboni

    Hapana ,uwanja Ni wa chuo...
  11. Mohamedmteleke

    JamiiForums Tanzania Hali ngumu Sana kwa wabunge wa CCM majimboni

    Fara Sana huyu...huwa tunapasha uwanja wa mkwawa jion...huwez Amin watu Zaid ya arobaini huwa tuna mpisha mtu mmoja acheze gofu...vijana wa mpira tnamchukia San huy
  12. Mohamedmteleke

    JamiiForums Tanzania Ushauri; Wakulima na wafugaji jiwekeeni hazina zenu vizuri, yajayo hayafurahishi

    Kudadeki...mkulima anaumia sana
  13. Mohamedmteleke

    JamiiForums Tanzania Ushauri; Wakulima na wafugaji jiwekeeni hazina zenu vizuri, yajayo hayafurahishi

    Serikali inanunuaga kijinga...mwaka Jana wakulima walipigwa na mtu Kati...mfano gharama za ununuzi Kama kupima ,mfuko na kubeba analipa muuzaj
  14. Mohamedmteleke

    JamiiForums Tanzania Ushauri; Wakulima na wafugaji jiwekeeni hazina zenu vizuri, yajayo hayafurahishi

    Whatever... production cost Ni juu...mwenye hofu na njaa aingie shamba, sio tushibe kwa gharama ya mkulima..nazan hii ya mafuta ya kula imekaa unyama ,inatakiwa kuwa hv kwenye ngano , na unga wa mahindi...ili wezi wachomwe , wahuni waridi shamba walime wapungue hapo mjini daslam ...TZ ina arable...
Back
Top Bottom