Recent content by mohamed msafiri

  1. mohamed msafiri

    Hitilafu Gridi ya Taifa: Waziri Kalemani aamuru Meneja Uendeshaji wa Kidatu kuondolewa kazini kwa uzembe

    Watanzania bana waziri anatekeleza majukumu yake lkn kwa sababu tumezoea kubisha ndo maana wanasema ccm waziri anaongelea umeme ubishi kawaida ya wapinzani (ukawa)haoo
  2. mohamed msafiri

    Matokeo ya NACTE yametoka?

    Walio na mamlaka jitahidini kuchunga mda kwani hali za watz zinafahamika nu za kuungaunga Sent using Jamii Forums mobile app
  3. mohamed msafiri

    Sheria za mtandao zimefia wapi? Ona huyu dada anavyopiga picha za uchi

    Wenye mamlaka chukueni hatua juu ya hawa mashetani mjue kwa nafasi zenu mtakuja kuhukumiwa na muumba lindeni maadili Sent using Jamii Forums mobile app
  4. mohamed msafiri

    Utajiri wa wachungaji Rwakatare, Gwajima, Mwingira na Mzee wa upako na uhalisia wa makanisa yao(Majengo ya kuabudia)

    mada ni nzuri ila kwa kuwa unagusa mikate ya watu kwa hapo hakuna majibu ya kukuelimisha Sent using Jamii Forums mobile app
  5. mohamed msafiri

    Watangazaji wa Clouds 360 wawaponda CHADEMA kwenye kipindi chao

    hivi kama kusoma hujui hata huzioni Sent using Jamii Forums mobile app
  6. mohamed msafiri

    Unafiki wa Vyuo vyetu kuhusu mfumo wa udahili...

    Ni kweli mkuu hebu vyuo vikuu vifikirie kuwajali wanyonge wasitumie mwanya huo kama vile kuwakomoa wajue hivyo ni vyetu sote Sent using Jamii Forums mobile app
  7. mohamed msafiri

    Majibu ya serikali kuhusu wanaosubiri ajira za ualimu

    ndalichako acha ubabaishaji huo uhakiki mpaka lini
  8. mohamed msafiri

    Ni nani msimamizi wa mtaala wa elimu Tanzania?

    Habari zenu wadau wa JF, Nimekuwa najiuliza maswali mengi juu ya elimu inayotolewa hapa nchini, nchi nyingi zimefanikiwa kupata maendeleo kupitia elimu yenye mtaala bora wa elimu lakini kwa Tanzania kila Waziri wa Elimu ana mtaala hebu chukulia zama za Makweta, Maghembe, Malima, Ndugai...
  9. mohamed msafiri

    Nini chanzo??? Na nini kifanyike???

    kwanza niunge mkono maoni ya wenzangu lkn jingine ni kudhihirisha kuwa bila jamii kuandaliwa kiroho na kujitambua wao na kujua lengo la kuumbwa kwao kamwe tusitegmee kuwa shule na vyuo ni sehemu ya kuandaa jamii bora tazama wale wote eanaoitwa wasomi ndio hao wanaongoza kwa ujinga na ndio vinara...
  10. mohamed msafiri

    Kupatwa kwa jua ni ishara ya Mungu kumkubali Rais Magufuli

    KIGEZO CHA ELIMU NI KUFAMYA MAMBO KWA UFANISI YATOSHA KUBAINI VILAZA KUPITIA TUKIO HILI EBU TUWE NA HOFU YA MUNGU
  11. mohamed msafiri

    Wapinzani aina ya Cheyo, Mrema kweli ni wapinzani au waganga njaa?

    Chakushangaza umewaona Zhao tu VP njaa ya mbowe nayo mbona hamkuisema
Back
Top Bottom