Habari za asubuhi jf? Nawapenda sana kwani upendo ndo faraja pekee ktk maisha ya mwanadam. Jaman naomba mnijuze kama post za kilimo na mifugo kama zmetoka tafadhali jaman maana nmejaribu kuangalia kwenye link zao mambo hayajakaa vzuri.
Jaman habari za asbuh,nawapenda sana ndgu zangu kwan upendo ndo faraja pekee ktk maisha ya mwanadam.Jaman naomba msaada hv vyuo vya kilmo na mifugo wamkwsha aachia post?Asubh njma.
Huu ujnga yan kidume nmenoa meno alafu uniambie eti nyama imeoza huku ipo maeneo ya jikon utakua n wendawazmu kabisa mm ntakugegeda kwa kuchana chup kwa kukuvua vyote vitawekana upo dada,yan mjomba nchumali kajinyoosha aingie ndani unazingua hyo inaitwa haipogoooooooo!
Ckia kijna watoto wa kke n hatar xana hvyo bas uspokua makn watakuumiza kichwa cha mxing wengi wao n mshko kwanza hata kama utapata n kwa gharama ww unafkir unawza ukamudu kutoa 50,000/= ajli ya mtoto wa kke c utakua nawazmu wakti we mwenyewe labda unakula kwa mama.Becareful my dear this in ot...
Sasa mkuu OLESAIDIMU Kwanza kabsa samahn kwa usumbufu mm mm pia nafikiria sana hzo koz if possible mkuu hzo chance umzpataje ni direct bas na mm hata kwa kunipa hata kamdokezo kidgo nn nifanye tafadhali!
Jaman naomba msaada kwa anayefahamu web znazohusiana na application ya afya please!Maana huku nlpo hudma ya net inasumbua sana!So naomba msaada wenu please please.
Jamani habari asubuhi wote?Ndugu zangu naomba kama kuna mtu anafahamu kuwa nafasi za kujiunga na chuo wizara ya kilimo na mifugo anijuze tafadhali sana nisaidieni kwa hlo jaman.
Kwhyo jamani inamaana kwa point zangu cwez kupta chochote kabisa hata kilimo na mifugo ciwez kwenda na vi D vyangu vya physics,chemistry na biology?Hyo point 28 kwa matokeo ya mwaka 2012 inamaana nd imetoka hivyo?
Kwhyo jamani inamaana kwa point zangu cwez kupta chochote kabisa hata kilimo na mifugo ciwez kwenda na vi D vyangu vya physics,chemistry na biology?Hyo point 28 kwa matokeo ya mwaka 2012 inamaana ndo imetoka hivyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.