Recent content by moghaka

  1. M

    Msiotumia pombe, mnapotezea wapi muda?

    Ni kweli hakuna muda wa kupoteza hasa miaka hii ya technology na uhaba wa ajira.. Lakini inategemea na mambo kadhaa, Kazi/Ajira yako, umri , mazingira unayoishi n.k mfano: mwekezaji wa Real Estate sio muda wote atakuwa busy
  2. M

    Msiotumia pombe, mnapotezea wapi muda?

    Ni changamoto kubwa sana, inategemea na mahala ulipo, mazingira lakini kwa ujumla mazingira yanatulazimisha kuingia pasipo faa wewe uko wapi ?
  3. M

    Kuhusu upotoshaji kuwa "Wasomi hawaajiriki", hebu tuwatambue matajiri wasomi

    WASOMI HAWATAJIRIKI Ndio kichwa cha habari, (kuna mtu alibadili HEADING)
  4. M

    Kuhusu upotoshaji kuwa "Wasomi hawaajiriki", hebu tuwatambue matajiri wasomi

    UPOTOSHAJI "WASOMI HAWATAJIRIKI" EBU TUWATAMBUE MATAJIRI WASOMI DEGREE LEVEL Kwangu mm nauona huu ni upotoshaji mkubwa na wenye madhara kwenye jamii yetu.. Nachojua ni kweli wasio wasomi kwa ujumla ni more risk taker kulinganisha na wasomi lakini hii pekee sio factor ya ku generalise...
  5. M

    Hii Elimu ya Mbunge Erick Shigongo sijaielewa, naombeni kueleweshwa

    Mkuu kwani huo utaratibu wa RPL haupo kwa sasa ?
  6. M

    Namtafuta Mchungaji Fracis Ndacha wa SDA nimpe sadaka yangu

    ok sawa Yeye yuko kenya na mm niko TZ
  7. M

    Namtafuta Mchungaji Fracis Ndacha wa SDA nimpe sadaka yangu

    SHUKRAN kwa ushauri, basi niite zawadi kwake binafsi ikoje hii ?
  8. M

    Namtafuta Mchungaji Fracis Ndacha wa SDA nimpe sadaka yangu

    Mbuya TATA, No monto omoholu bhokong'u
  9. M

    Namtafuta Mchungaji Fracis Ndacha wa SDA nimpe sadaka yangu

    Sorry kama ni makosa, niliona HAPA ni rahisi zaidi kwangu, na kwa nia njema.
  10. M

    Namtafuta Mchungaji Fracis Ndacha wa SDA nimpe sadaka yangu

    NAMTAFUTA MCHUNGAJI FRACIS NDACHA WA SDA NIMPE SADAKA YANGU Kwa kazi kubwa iliyotukuka ya kueneza injili naomba kujua ni namna ipi sadaka yangu inaweza kukufikia Kwa yeyote mwenye mawasiliano na huyu mchungaji wa SDA naomba msaada habari hii imfikie pia naamini tupo wengi.
  11. M

    Msaada wa QuickBooks

    UKO WAPI ?
  12. M

    Je, Tanzania imewahi kuwa na Rais mwizi?

    RAIS NI NYERERE TU AKIFUATIWA KWA MBALI NA MKAPA MWISHO WA HABARI
Back
Top Bottom