Kutoka kwenye vyanzo mbali mbali nilivyosoma, nilikuja kugundua Okelo pamoja mambo mazuri yote aliyokuwa nayo lakini still alikuja kuwa mroho wa madaraka maana baada ya kuondoka Zanzibar alienda Congo Kinshasa na baadae Uganda ambako Idd Amin aliamin anaweza kufanya nae kazi na kumteua baadae...
Utangulizi.
Kwa miaka mingi sana vijana wakiume walikua wakipewa kipaumbele katika nyanja tofauti tofauti lakini mambo yalianza kubadilika pale matukio ya unyanyasaji wa ulipoongezeka hasa kwa watoto wa kike. Hapa ndipo Serikali na asasi nyingine zisizo za kiserikali kuanzisha kampeni tofauti...
Utalii; Ni kitendo cha mtu au kundi la watu kusafiri kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine kwa lengo la burudan, biashara, kujifunza au makusudi mengine (Wikipedia, 2023). Utalii kwa Tanzania hivi sasa imekua ni sekta inayochangia takribani 25% ya pato la taifa na hii ni kwa mujibu wa hotuba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.